Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Nilidhani nimeshajua kila kitu kuhusu EPA... then comes this! Anna Mkapa (mke wa aliyekuwa Rais wetu BWM) anadaiwa kuwa na connection ya ajabu (au inayomake sense) ya EPA... Baadhi ya washitakiwa (ambayo majina yao yamewekwa kapuni) walielekezwa juu ya uwepo wa akaunti ya EPA na jinsi ya kupeleka "maombi" yao na Bi. Mkapa. Kwa muda mrefu nilikuwa nauliza kwanini Mkapa haonekani kwenye EPA moja kwa moja wakati mambo haya yanaonekana kufanyika mbele ya uso wake...
Ka nzi ketu ambako kamebahatika kufika kusikotakiwa kufika kanadokeza kuwa connection ya Mkapa na EPA inapatia kwa mama Anna Mkapa!
Ka nzi ketu ambako kamebahatika kufika kusikotakiwa kufika kanadokeza kuwa connection ya Mkapa na EPA inapatia kwa mama Anna Mkapa!