Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,844
SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar imetangaza mkakati mpya wa kuwataka wawekezaji na watu wenye asili ya Tanzania Bara kusajiliwa na kuanza kulipa kodi ya ardhi ya dola za Marekani 5000 (Sh6.5 milioni), kila mwaka kwa kila hekta moja ya ardhi.
Hata hivyo, SMZ ilisema mwekezaji mwenye asili ya Zanzibar atapaswa kulipa dola 500 (Sh650,000).
...te-he!
ndipo mtapotambua Zanzibar ni Nchi au Mkoa! ...tena hapo kwenye 'mwenye asili ya Zanzibar kulipa dola 500 (sh650,000)' ...mwandishi angeongeza Tu!
Zanzibar ni njema, atakaye na aje!