Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,323
- Thread starter
- #61
Moderator, nadhani tunahitaji kujadili mambo ya maana ya kujenga nchi na siyo huu ujinga wa akina hamza anayeropoka bila hata kujua anaongea nini. Fungeni hii thread haraka.
Magezi,
Sina cha kukwambia kwani mengi yameshabainishwa na Ngekewa. naomba usome vizuri sana posting zangu ujue nilikuwa najenga hoja gani. na sio ukurupuke kutoa kashfa.
Dr Hamza