atakuja kuchimba sultan qaboos au jamsheed
wazenj na viongozi wao no vision kabisa....
Muungano ndio unacheza fainali yake sasa
Hawa vilaza washaanza kelele zao. Nikiambiwa nichague kwenda kuishi Jehanamu au Zanzibar, nitachagua Jehanamu maana kuna uwezekano wa kukutana na watu wenye akili timamu kuliko Wazenji.
Wewe ndio muongo! ficha upumbavu wako! hivi zanzibar kusema watachimba mafuta yao wenyewe ndio uone hawana akili.
Wewe mtanganyika kuruhusu makampuni ya nje kuchimba dhahabu , tanzanite na almasi na kuvipeleka nje ya nchi ikikubakisha wewe masikini wa kutupwa nini unapta? na mafuta yoyte yatakombwa sasa wewe na wazenji wanaotaka kuchimba wenyewe nani ana akili?
Hivi jamii forums mie sielewi kabisa, kitu kama kinaletwa cha zanzibar kwa kuwa ni waislamu basi watu hawa hamna stara ya kuhangia na kuwapongeza hata kama thread ina maana fulani ! mbona ndugu zangu mna chuki ya kupitilza?