AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Jamani watanganyika (Azania) wenzangu tusiumize vichwa kwani hata hao SUK nao si ndio hao hao 2? Hawa watu hamna kulemba swala kwamba na sisi huku bara tuandae maandamano makubwa mapaka ikulu ya kupinga huu muungano na ss tuwe taifa huru kwani sijui kwann bado tunawabembeleza watu ambao tunawahudumia? Baada ya hapo tuone kama watasomea wapi?.
mzee wetu mzee mtei baba msema ukweli na misimamo hebu toa tamko tena kwani uliposema kuhusu tume ya katiba wengi walikupuuza na sasa tunayaona haya.
mzee wetu mzee mtei baba msema ukweli na misimamo hebu toa tamko tena kwani uliposema kuhusu tume ya katiba wengi walikupuuza na sasa tunayaona haya.