Serikali ya mapinduzi zanzibar imesema italipa garama zote za matengenezo ya makanisa yalioharibiwa.
Swali la kujiuliza kama kanisa la kwanza lilichomwa juzi, je serikali ilishindwaje kuweka ulinzi mpaka jana wakachoma tena makanisa mawili? Hii serikali inafanya upendeleo ndiyo maana wakristo zanzibar wanaharibiwa mali zao serikali inakaa kimya haichukui hatua.
Mfano vibanda vya watanganyika vilichomwa wakaa kimya!.
Wakachoma mabaa mengi tu,serikali ikakaa kimya hakuna hatua zilizochukuliwa.
Sisi watu wa bara hasa wa KRISTO tunasikitishwa sana na uonevu huo unaotokea huko zanzibar.
Kama watu wanafika mahali wanachoma makanisa laana hii haitawaacha salama!
Bangoo. Rimoy
box 1212
Arusha Tanzania.
Swali la kujiuliza kama kanisa la kwanza lilichomwa juzi, je serikali ilishindwaje kuweka ulinzi mpaka jana wakachoma tena makanisa mawili? Hii serikali inafanya upendeleo ndiyo maana wakristo zanzibar wanaharibiwa mali zao serikali inakaa kimya haichukui hatua.
Mfano vibanda vya watanganyika vilichomwa wakaa kimya!.
Wakachoma mabaa mengi tu,serikali ikakaa kimya hakuna hatua zilizochukuliwa.
Sisi watu wa bara hasa wa KRISTO tunasikitishwa sana na uonevu huo unaotokea huko zanzibar.
Kama watu wanafika mahali wanachoma makanisa laana hii haitawaacha salama!
Bangoo. Rimoy
box 1212
Arusha Tanzania.