Nafikiri ndio itakuwa hizo short sms codes, yani zile meseji zinakua kwenye mfumo fulani mfano unaweza tuma neno fulani kujiunga au kuna kampuni wanakuwa na huduma fulani ukiuliza swali SMS zinajibu automatically au zingine zinakua kama reminder baada ya muda flani mteja au mtu fulani anatumiwa mesejiUnaongelea USSD au Short SMs codes
Hiyo project ilikuwa chini ya marehem CPWAA(mwanamuziki) hebu tafuta watu wake wa karib watakusaidia nadhanNafikiri ndio itakuwa hizo short sms codes, yani zile meseji zinakua kwenye mfumo fulani mfano unaweza tuma neno fulani kujiunga au kuna kampuni wanakuwa na huduma fulani ukiuliza swali SMS zinajibu automatically au zingine zinakua kama reminder baada ya muda flani mteja au mtu fulani anatumiwa meseji
Hiyo ya wajawazito nimeona halotelKuna project nataka kufanya na reminder sms na za maelekezo kwa wamama wajawazito na waliojifungua ambao watakuwa wanapata meseji za tarehe za chanjo, clinic na kupata tips za lishe.
Hiyo ni Huduma ya Bulk SMS kama Ilivyoainishwa na Wadau Kadhaa Hapo Juu. Unaweza Kufanya Na Kampuni ya/Za simu moja Kwa Moja ama kupitia Kwa Third party, Ukifanya na Kampuni ya Simu moja Kwa Moja ni nafuu zaidi ila inakupasa Uwe na Ufahamu + Mfumo utakao kuwezesha Ku 'Integrate' na Mfumo wa SMSC wa Kampuni ya Simu husika. Ukitumia Third party Kama vile NextSMS, Bongolive etc utakachotakiwa ni ku tengeneza account yako na kuomba Sender Id Kisha Mengineyo yatafanywa na Huyo third party.Okay mimi nataka kufanya zaidi na program za wafadhili za afya ndio wawe clients wangu
dada anazungumzia kitu kama WEFARM ile ya wakulima, ni tofauti kidogo na hichi usemacho.Hiyo ni Huduma ya Bulk SMS kama Ilivyoainishwa na Wadau Kadhaa Hapo Juu. Unaweza Kufanya Na Kampuni ya/Za simu moja Kwa Moja ama kupitia Kwa Third party, Ukifanya na Kampuni ya Simu moja Kwa Moja ni nafuu zaidi ila inakupasa Uwe na Ufahamu + Mfumo utakao kuwezesha Ku 'Integrate' na Mfumo wa SMSC wa Kampuni ya Simu husika. Ukitumia Third party Kama vile NextSMS, Bongolive etc utakachotakiwa ni ku tengeneza account yako na kuomba Sender Id Kisha Mengineyo yatafanywa na Huyo third party.
Hizo ni short codes. Waone Onfonmedia Tanzania kama bado una uhitaji wa huduma hiyo. Wana provide na USSD services. Siku hizi kuwa pia za watsup waweza nichek kwa maelezo zaidi.Nafikiri ndio itakuwa hizo short sms codes, yani zile meseji zinakua kwenye mfumo fulani mfano unaweza tuma neno fulani kujiunga au kuna kampuni wanakuwa na huduma fulani ukiuliza swali SMS zinajibu automatically au zingine zinakua kama reminder baada ya muda flani mteja au mtu fulani anatumiwa meseji
Sijui kama hii itasaidiaNaomba kufahamu namna mtu anaweza kufanya investment ya meseji za USSD codes.
Nani service provider hapa bongo?
Charges zake zipoje?
Wanaofanya wanapataje faida?
Opportunities zake zipoje kwa sasa hapa Tanzania?
then nenda kwa 3rd party providers, wana charge say Tsh. 20 mpaka 30 kwa kila SMSHizo gharama za tcra mbona kubwa sana yani leseni mpaka USD 2000 na kureneww kila mwaka ni USD 2500
Shida ni kuwa umekuja kuuliza solution badala ya ku pose tatizo ili upate optima solution.Naona kuna mchanganyiko wa bulk SMS na USSD services. Sijajua haswa niuite mfumo gani
Ila huu nataka uwe unaruhusu Q&A pia.
Hizo gharama za tcra mbona kubwa sana yani leseni mpaka USD 2000 na kureneww kila mwaka ni USD 2500 😳😳😳😭😭😭
Namna hii kutoka lazima uwe na kipato kidogo mtaji tu hautoshi.
Hapo bado gharama za mfumo duuh nachokaa 😓😓😓🥺🥺🥺