Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,275
- 18,352
Naandika hili moja kwa moja nikiwa ni muhanga wa jambo hili, naomba TCRA muingilie kati hizi meseji imekua kero sasa.
Kila dakika meseji ya kamari, uwe unacheza uwe hauchezi meseji utatumiwa tu.
Too much sasa mnaudhi aisee, mara Daka pesa, Instamoja, Weka bet n.k
Una block huyu anakuja mwingine kila dakika meseji.
Wenye mitandao acheni kutusumbua, watambuweni wanaocheza hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila dakika meseji ya kamari, uwe unacheza uwe hauchezi meseji utatumiwa tu.
Too much sasa mnaudhi aisee, mara Daka pesa, Instamoja, Weka bet n.k
Una block huyu anakuja mwingine kila dakika meseji.
Wenye mitandao acheni kutusumbua, watambuweni wanaocheza hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app