ryana fan
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 2,632
- 3,051
Habari wakuu naamini mmeshinda salama baada ya mizunguko ya siku. Basi nisiwachoshe Sana niende Moja kwa Moja kwenye mada husika.
Naomba mwenye sms za Kimahaba atupie hapa tuone anavyompa demu mstari. Hata wewe binti kama Kuna jamaa aliwahi kukutongonza naamini kabisa Bado unakumbuka hiyo mistari Basi leteni tushee kidogo .
Ahsanteni na karibuni. Naanza Kama ifuatayo.
"Mpenzi usiende mbali nami, njoo ufaidi utamu usioisha hamu, nitakupa mwili wangu ucheze nao hadi asubuhi, nitakulisha unachokitaka, sitakubania kwani naogopa wengine wanaweza kukupa... njoo leo uniambie unataka nini?"
Naomba mwenye sms za Kimahaba atupie hapa tuone anavyompa demu mstari. Hata wewe binti kama Kuna jamaa aliwahi kukutongonza naamini kabisa Bado unakumbuka hiyo mistari Basi leteni tushee kidogo .
Ahsanteni na karibuni. Naanza Kama ifuatayo.
"Mpenzi usiende mbali nami, njoo ufaidi utamu usioisha hamu, nitakupa mwili wangu ucheze nao hadi asubuhi, nitakulisha unachokitaka, sitakubania kwani naogopa wengine wanaweza kukupa... njoo leo uniambie unataka nini?"