ChingaMzalendo
Senior Member
- Nov 9, 2008
- 192
- 3
Kuna SMS ya maandamano nchi nzima kuanzia ijumaa amabyao inasambaa kwa kasi mno. Ujumbe wenyewe unasema "Tumeujumiwa miaka 45 imetosha. Kuanzia ijumaa ni maadandamano ya amani nchi nzima" Nawaunga mkono waandamanaji kwa maana ni haki yao ya msingi kuandamana, kwani kikwete na makamba wamezidi kuvuruga amani yetu. Tumefika mwisho wa uvumilivu na serikali yake ya kidhalimu na kiusultani
Kwa maana hiyo, ikiwa damu itamwagika, basi tume ya uchaguzi, Kikwete, Makamba na wengio wabebe mzigo. Wao ndio wanaoanza kuivuruga amani yetu na utulivu wetu kwa kuivamia haki yetu ya msingi. Kupiga kura.
Kwa maana hiyo, ikiwa damu itamwagika, basi tume ya uchaguzi, Kikwete, Makamba na wengio wabebe mzigo. Wao ndio wanaoanza kuivuruga amani yetu na utulivu wetu kwa kuivamia haki yetu ya msingi. Kupiga kura.