Most people prefer sms kama mawasiliano na wapenzi wao zaidi ya kupiga simu... na kwa mtazamo wangu matatizo mengi sana kwenye mahusiano yanaanziaga hapo..
Mfano utakuta mtu uko busy umefungwa motor na boss wako ofisini....mpenzi anakutumia sms..wewe kwa sababu umekamatwa na kazi huisikii....baadae sana unapopata mda ukimjibu ni ugomvi na saa nyingine hata mpaka jioni ndio unaiona.
Ni vizuri ukiona umetuma sms alafu hujibiwi ruka hewani fasta...na hapo kama hujibiwi ndio uanze kurusha mawe..sio unakurupuka tu.
Mfano utakuta mtu uko busy umefungwa motor na boss wako ofisini....mpenzi anakutumia sms..wewe kwa sababu umekamatwa na kazi huisikii....baadae sana unapopata mda ukimjibu ni ugomvi na saa nyingine hata mpaka jioni ndio unaiona.
Ni vizuri ukiona umetuma sms alafu hujibiwi ruka hewani fasta...na hapo kama hujibiwi ndio uanze kurusha mawe..sio unakurupuka tu.