Mwalimu
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 1,581
- 1,069
Mimi ni mteja wa VODACOM ghafla nimepokea hii msg kutoka AIRTEL
"Sherehekea Uhuru na AIRTEL! Ongea kwa ROBO SH Airtel kwenda Airtel kuanzia mwanzo wa mazungumzo saa 5 usiku hadi saa 12 asubihi huhitaji kujiunga, hakuna masharti"
Hivi wamepata wapi namba yangu in the first place wakati mimi sio mteja wao??
"Sherehekea Uhuru na AIRTEL! Ongea kwa ROBO SH Airtel kwenda Airtel kuanzia mwanzo wa mazungumzo saa 5 usiku hadi saa 12 asubihi huhitaji kujiunga, hakuna masharti"
Hivi wamepata wapi namba yangu in the first place wakati mimi sio mteja wao??