Goodrich
JF-Expert Member
- Jan 29, 2012
- 2,091
- 1,177
Simu ie smartphone, inaweza kuwa na jina kubwa au umbo zuri lakini ikakusumbua kutokana na uwezo mdogo ie uwezo usioendana na mahitaji yako.
Hivyo kuna mambo ya kuzingatia unaponunua simu ili ufurahie mawasiliano.
Vitu vya kuzingatia vipo vingi lakini vya muhimu ni:
1. RAM - Hii ni Random Access Memory ambayo ndio hasa ufanisi wa simu katika matumizi System Apps.
Ili imudu apps zilizopo sasa km vile Whatsapp, Fb, Viber, browsing apps etc, RAM isipungue 1 up to 4GB kutegemea na matumizi yako.
2. Internal Memory - Hapa ndio data na Apps zako zinahifadhiwa. Wingi wa Apps utahitaji IM kubwa. Vinginevyo utalazimika kuwa na apps chache. Internal Memory nzuri ni kuanzia 4-32GB.
3. Screen Resolution - Hii inakusaidia kuona picha na video kwa ubora zaidi. Hutegemea na mahitaji yako. Ni jambo la kuuliza pia unaponunua simu. Kuanzia 960x1200pixels ni nzuri.
Mambo mengineyo ya muhimu ni km vile Operating System (OS), Card Slots, Uwezo wa Camera, Android Version, Battery Talktime, Dimensions, etc etc
Hivyo kuna mambo ya kuzingatia unaponunua simu ili ufurahie mawasiliano.
Vitu vya kuzingatia vipo vingi lakini vya muhimu ni:
1. RAM - Hii ni Random Access Memory ambayo ndio hasa ufanisi wa simu katika matumizi System Apps.
Ili imudu apps zilizopo sasa km vile Whatsapp, Fb, Viber, browsing apps etc, RAM isipungue 1 up to 4GB kutegemea na matumizi yako.
2. Internal Memory - Hapa ndio data na Apps zako zinahifadhiwa. Wingi wa Apps utahitaji IM kubwa. Vinginevyo utalazimika kuwa na apps chache. Internal Memory nzuri ni kuanzia 4-32GB.
3. Screen Resolution - Hii inakusaidia kuona picha na video kwa ubora zaidi. Hutegemea na mahitaji yako. Ni jambo la kuuliza pia unaponunua simu. Kuanzia 960x1200pixels ni nzuri.
Mambo mengineyo ya muhimu ni km vile Operating System (OS), Card Slots, Uwezo wa Camera, Android Version, Battery Talktime, Dimensions, etc etc