Toboa ni ipi hiyo chief?Bora toboa bando sasa
Aiiii hiyo hapana, ndiyo kuanza kusinzia kazini kisa ulikua unatoboa uck kuchaToboa TTCL ya usiku wa manane, hiyo shida nyingine sasa tuwe mabundi.
No wayAiiii hiyo hapana, ndiyo kuanza kusinzia kazini kisa ulikua unatoboa uck kucha
Duh mbona balaah iv skuiz kuna mtandao cheap kwel[/QU
Amna mtandao cheap ila Kama unataka kidogo uwe na AHUENI jitaftie Laini ya CHUO ila kusajili laini kawaida kama mtu wa kawaida..hakika kila siku utashka kichwa..Jifanye tu mwanafunzi huna Jinsi.