Smart phones nyumba za ibada, no please!

Dhima ya simu janja, ujio wa namba ya siri na matumizi yasiyoepukika ya namba ya siri, mfumo Kristo na mpinga Kristo ndio msingi wa mada

Jr
Ni kweli kabisa Mh. Mshana Jr. Hua nakuheshim sana kwenye ujuzi wa mambo ya kiroho na kiimani lakini Hizi mambo ya namba za Siri ni kazi ya Mungu pia. Shetani ni kama vile akitokea Mwanachama wa CCM aliyehamia Upinzani kwa kukosa madaraka. Mara nyingi akiwa jukwaani atasahau na kusema CCM Hoyee!!

Shetani hana jipya kwani aliyonayo na watu wake ni Yale aliyoiga kule alipokua mwanzoni kwa Mwenyezi Mungu.

Shetani na wafuasi wake kwa sasa wanataka kuwaaminisha watu kuwa kila kitu kizuri na chenye kiwango ni cha Shetani.
Haiwezekani Kila ubunifu uwe ni wa shetani .

Ukiangalia hii mambo ya pass word utagundua kuwa ni mfumo wa kuwajenga watu wawe waadilifu. Ndio maana hata wizi umepungua mana ni rahisi kujulikana.
Walianza na alama za vidole.

Mungu aliumba vidole vya binadam lakini baadae watu wakafunguka na kugundua kuwa kila binadam ana pass word ya vidole vyake.
Hii ni kazi ni ya Muumba shetani anatafuta tu maujiko kwa kuwadanganya na kuwatisha watu.

Shetani alitaka wakati Fulani kumdanganya Nabii Issa au Yesu kwa kumwambia kuwa amsujudie ili ampe Mali zote kwa kuwa ni zake. Lakini Yesu alijua wazi kuwa shetani ni muongo na akamwambia kuwa anatepaswa kuabudiwa ni Mungu peke yake.

Kwa hiyo iwe iweje anayepaswa kuabudiwa ni Mwenyezi Mungu peke yake.
Iwe ni kwenye mtandao iwe ni wapi ni lazima Mwenyezi Mungu aabudiwe peke yake.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usasa ni shida
49690951_794867830849564_4347536442588998098_n.jpg
 
Ni kweli kabisa Mh. Mshana Jr. Hua nakuheshim sana kwenye ujuzi wa mambo ya kiroho na kiimani lakini Hizi mambo ya namba za Siri ni kazi ya Mungu pia. Shetani ni kama vile akitokea Mwanachama wa CCM aliyehamia Upinzani kwa kukosa madaraka. Mara nyingi akiwa jukwaani atasahau na kusema CCM Hoyee!!

Shetani hana jipya kwani aliyonayo na watu wake ni Yale aliyoiga kule alipokua mwanzoni kwa Mwenyezi Mungu.

Shetani na wafuasi wake kwa sasa wanataka kuwaaminisha watu kuwa kila kitu kizuri na chenye kiwango ni cha Shetani.
Haiwezekani Kila ubunifu uwe ni wa shetani .

Ukiangalia hii mambo ya pass word utagundua kuwa ni mfumo wa kuwajenga watu wawe waadilifu. Ndio maana hata wizi umepungua mana ni rahisi kujulikana.
Walianza na alama za vidole.

Mungu aliumba vidole vya binadam lakini baadae watu wakafunguka na kugundua kuwa kila binadam ana pass word ya vidole vyake.
Hii ni kazi ni ya Muumba shetani anatafuta tu maujiko kwa kuwadanganya na kuwatisha watu.

Shetani alitaka wakati Fulani kumdanganya Nabii Issa au Yesu kwa kumwambia kuwa amsujudie ili ampe Mali zote kwa kuwa ni zake. Lakini Yesu alijua wazi kuwa shetani ni muongo na akamwambia kuwa anatepaswa kuabudiwa ni Mungu peke yake.

Kwa hiyo iwe iweje anayepaswa kuabudiwa ni Mwenyezi Mungu peke yake.
Iwe ni kwenye mtandao iwe ni wapi ni lazima Mwenyezi Mungu aabudiwe peke yake.



Sent using Jamii Forums mobile app


Jr
 
Usasa una yake mazuri na ya kuchukiza... Ya nuruni na ya sirini.. Yote hayakwepeki... Kuna moja lililo wazi...! Hata kama hatutapenda kulijadili kwa unafiki na uzandiki wetu... MFUMO KRISTO UNATAWALA DUNIA....!
Mwezi uliopita tulipata msiba mtaani kwetu... Jamaa yetu jirani (mlevi mzuri wa 'pure' namba one alipata ajali na kufariki hapohapo!!! Aligongwa na gari mitaa ya mbezi akitoka kutoa lock... Msiba ulikuwa na kila aina ya vituko kutokana na aina ya maisha aliyokuwa nayo marehemu na aina ya kampani yake... Hii sio kesi kabisa!
Alizikwa kwa imani yake ya kiislam... Ustaadh aliyeongoza ibada ile ya mazishi alikuwa kijana wa makamo lakini wa kileo sana... Pale makaburini aloliongoza ibada ile ya mazishi kupitia iPad kali aliyokuwa kabeba... Juzuu, mistari na utaratibu mzima wa mazishi yale, alitumia version ya mtandaoni kupitia iPad.. Quran for Android ya mtandaoni
Kuna wakati alipata usumbufu wa nadhani jumbe za WhatsApp na za kawaida na kama mara mbili alipigiwa simu alizokata ili uweze kuwa na mwendelezo wa ibada bila bughudha... IPad ile alitumia password kuifunga na kuifungua... Nikajiuliza Ustaadh anajua kweli maana ya password?
Imani yangu ni mkristo, huwa nasali makanisa tofauti.. Kuna baadhi ya makanisa, maaskofu, wachungaji na wahubiri wao huona ni sifa na usasa kutumia downloaded Bible toka kwenye simujanja zao na ipads kusoma neno na nukuu mbalimbali
Nina ukakasi mkubwa kwenye hili... Tunaishi kwenye ulimwengu wa namba ya siri... 666... Namba ya MFUMO KRISTO mpinga KRISTO, lakini wengi wetu hatulitambui hilo...
Siku hizi makufuli na vitasa havina nguvu na thamani kivile... Maisha yetu yametawaliwa na namba ya siri kuanzia
Mitandaoni
Huduma za kifedha
Huduma za bank
Huduma binafsi
Simu zetu
Anuani zetu
Manunuzi yetu
Miamala mbalimbali
Shughuli za kijamii
Shughuli za kidini nknk
Hata miamala na malipo mbalimbali serikalini yanakutambua kwa namba maalum ya mlipa kodi yenye namba ya siri...
Yote juu ya yote simu janja yako (smart phone) uliyo download msahafu kwa imani yako.. Unathubutu vipi kuitumia kwenye nyumba takatifu ya ibada!? Una
Jumbe za mapenzi
Una mapicha ya aibu
Una video za kutia kinyaa
Una calls na mapenzi uhasama na visasi
Una vitu vingi vinavyowakilisha ulimwengu wa giza, sahau nyimbo za mapenzi na Ujinga mwingine, michepuko hata ulozi... Unapata wapi uthubutu wa kuvichanganya hivi na msahafu unaoheshimika na kujaa utakatifu!!?
Hupaswi kulaumiwa kwakuwa hujui...wala Kiongozi wako wa dini hapaswi kulaumiwa kwakuwa hana uwezo wa kulizuia hili.... Dunia inatawaliwa na namba ya siri... Ambayo ni 666.... Namba ya mpinga KRISTO.... Imo mpaka kwenye nyumba za ibada... Zaka na sadaka kwa tigo pesa, mpesa nknk....
Ikubali uishi... Ikatae ufe... Namaanisha namba ya siri 666... Hata kondom zako 3 ni kiwakilishi cha namba ileile ya siri... Matumizi yake unajenga na kuimarisha madhabahu unayojaribu kuipinga.... Utabaki kuwa mjinga....

Lala salama...!!!

Jr
alafu mashekh wasiku hizi tu wana imani haba, kwasababu hata msahafu wenye kuhifadhi Quran tukufu, huwa havichanganwi na vitabu vyengine ktk kuhifadhi. Yani kwamfano kuweka katiba, kitabu cha shigongo, kitabu cha picha, jarida LA kita ngoma, hivi vyote kuviweka pamoja na msahafu haiswihi, sembuse app ya ktk simu!!!!?
 
Usasa una yake mazuri na ya kuchukiza... Ya nuruni na ya sirini.. Yote hayakwepeki... Kuna moja lililo wazi...! Hata kama hatutapenda kulijadili kwa unafiki na uzandiki wetu... MFUMO KRISTO UNATAWALA DUNIA....!
Mwezi uliopita tulipata msiba mtaani kwetu... Jamaa yetu jirani (mlevi mzuri wa 'pure' namba one alipata ajali na kufariki hapohapo!!! Aligongwa na gari mitaa ya mbezi akitoka kutoa lock... Msiba ulikuwa na kila aina ya vituko kutokana na aina ya maisha aliyokuwa nayo marehemu na aina ya kampani yake... Hii sio kesi kabisa!
Alizikwa kwa imani yake ya kiislam... Ustaadh aliyeongoza ibada ile ya mazishi alikuwa kijana wa makamo lakini wa kileo sana... Pale makaburini aloliongoza ibada ile ya mazishi kupitia iPad kali aliyokuwa kabeba... Juzuu, mistari na utaratibu mzima wa mazishi yale, alitumia version ya mtandaoni kupitia iPad.. Quran for Android ya mtandaoni
Kuna wakati alipata usumbufu wa nadhani jumbe za WhatsApp na za kawaida na kama mara mbili alipigiwa simu alizokata ili uweze kuwa na mwendelezo wa ibada bila bughudha... IPad ile alitumia password kuifunga na kuifungua... Nikajiuliza Ustaadh anajua kweli maana ya password?
Imani yangu ni mkristo, huwa nasali makanisa tofauti.. Kuna baadhi ya makanisa, maaskofu, wachungaji na wahubiri wao huona ni sifa na usasa kutumia downloaded Bible toka kwenye simujanja zao na ipads kusoma neno na nukuu mbalimbali
Nina ukakasi mkubwa kwenye hili... Tunaishi kwenye ulimwengu wa namba ya siri... 666... Namba ya MFUMO KRISTO mpinga KRISTO, lakini wengi wetu hatulitambui hilo...
Siku hizi makufuli na vitasa havina nguvu na thamani kivile... Maisha yetu yametawaliwa na namba ya siri kuanzia
Mitandaoni
Huduma za kifedha
Huduma za bank
Huduma binafsi
Simu zetu
Anuani zetu
Manunuzi yetu
Miamala mbalimbali
Shughuli za kijamii
Shughuli za kidini nknk
Hata miamala na malipo mbalimbali serikalini yanakutambua kwa namba maalum ya mlipa kodi yenye namba ya siri...
Yote juu ya yote simu janja yako (smart phone) uliyo download msahafu kwa imani yako.. Unathubutu vipi kuitumia kwenye nyumba takatifu ya ibada!? Una
Jumbe za mapenzi
Una mapicha ya aibu
Una video za kutia kinyaa
Una calls na mapenzi uhasama na visasi
Una vitu vingi vinavyowakilisha ulimwengu wa giza, sahau nyimbo za mapenzi na Ujinga mwingine, michepuko hata ulozi... Unapata wapi uthubutu wa kuvichanganya hivi na msahafu unaoheshimika na kujaa utakatifu!!?
Hupaswi kulaumiwa kwakuwa hujui...wala Kiongozi wako wa dini hapaswi kulaumiwa kwakuwa hana uwezo wa kulizuia hili.... Dunia inatawaliwa na namba ya siri... Ambayo ni 666.... Namba ya mpinga KRISTO.... Imo mpaka kwenye nyumba za ibada... Zaka na sadaka kwa tigo pesa, mpesa nknk....
Ikubali uishi... Ikatae ufe... Namaanisha namba ya siri 666... Hata kondom zako 3 ni kiwakilishi cha namba ileile ya siri... Matumizi yake unajenga na kuimarisha madhabahu unayojaribu kuipinga.... Utabaki kuwa mjinga....

Lala salama...!!!

Jr
Mnaishi maisha ya kukaririshwa ndio maana
 
alafu mashekh wasiku hizi tu wana imani haba, kwasababu hata msahafu wenye kuhifadhi Quran tukufu, huwa havichanganwi na vitabu vyengine ktk kuhifadhi. Yani kwamfano kuweka katiba, kitabu cha shigongo, kitabu cha picha, jarida LA kita ngoma, hivi vyote kuviweka pamoja na msahafu haiswihi, sembuse app ya ktk simu!!!!?
Kinaitwa kisasa

Jr
 
Huwezi kunielewa maana mbele yako kuna ukuta na mimi nipo upande wa pili.
Ibada njema mpendwa
Uhalisia hausemi mimi niko hivi na wewe uko hivi... Ukiwa na mtazamo huo tayari ni ukuta japo hauonekani... Mijadala haikimbiwi kwa kujinasibu uelewa wa kufikirika

Jr
 
Shida iko wapi hapa kuwa na apps na picha mbovu kwenye simu anayotumia mtu wakati wa ibada au matumizi ya simu yenyewe. Maana hata ukitumia hard copy ya vitabu vya dini na moyo wako ni mbovu ni kosa mbele za Mungu. Kikubwa ni kivizima eneo la mawasiliano unaweka airplane mode unaendelea na ibada.
 
Shida iko wapi hapa kuwa na apps na picha mbovu kwenye simu anayotumia mtu wakati wa ibada au matumizi ya simu yenyewe. Maana hata ukitumia hard copy ya vitabu vya dini na moyo wako ni mbovu ni kosa mbele za Mungu. Kikubwa ni kivizima eneo la mawasiliano unaweka airplane mode unaendelea na ibada.
Hatuwezi kufanana mitazamo ila ukweli utabaki kuwa ukweli na uhalisia vilevile

Jr
 
  • Thanks
Reactions: J C
Back
Top Bottom