Habari wadau wa JF..
Mimi ni mkulima wa kati wa mpunga (sio mkubwa sana wala mdogo sana). Kwa mwaka naingiza wastani wa gunia 1000 za mpunga. Huwa natenga kiasi kama gunia 10 kwa chakula cha familia na the rest nauza ktk miezi ya 12 na Januari pindi amabapo bei iko juu kiasi kwa maslahi zaidi. Kwa kipindi kirefu nimekua nikifikiria namna ya kuongeza thamani ya bidhaa yangu hii ya mpunga kabla ya kumfikia mteja wangu. Nimefanikiwa kwa kiasi flan kupata majibu lkn sio kwa 100%. Moja ya mambo nilifikiri kufanya ni
(1)Kujikita na utengenezaji wa vyakula mbalimbali kwa kutumia unga wa mchele mf(keki, etc) in a small scale home industry
(2) Kusafirisha nje ya nchi within east Africa kwa sbabu ya soko huria ingawa najua haliko kwa 100% by now.
(3) Beer crafting (utengenezaji wa bia) kwa kutumia mchele ambayo ni nzuri sana kiafya kuliko bia za kawaida. Nimejaribu kufanya research kidogo na kubaini kwamba inawezekana kutengeneza whats called (malted rice beer) ambayo kwa sasa inatengenezwa na (Spanish craft beer Institute in Spain). Siyo lazima kuanza kwa large scale production lkn unaweza kuanza na kiwanda kidogo kinachoweza kugharimu kama 50 millions only. nikijaribu kuangalia kwa haraka haraka ktk Tanzania yetu hakuna viwanda vidogo vya usindikaji wa bia zaidi ya viwanda vikubwa kama TBL na SBL. Naomba nieleweke ninapoongelea small scale beer production simaanishi local beer..
Mimi nimekua interested sana na uzalishaji wa bia kwa kuwa naona viwanda vidogo vya uzalishaji hakuna na kama vipo basi ni kidogo sana, kwa maana hiyo naweza nikapata faida nyingi kufanya uzalishaji ktk kiwango kidogo kama kupata interaction directly na customers wangu, management n.k ingawa najua large industries za bia hapa TZ ni kama monopoly kwa kua ziko kubwa chache.
Nimejaribu kuchanganua namna gani ntaanza na kukutana na changamoto nyingi kama
(1) elimu ya uzalishaji bia mimi sina kwa hiyo lazima ntahitaji mtu/watu waliobobea ktk secta iyo.(proffessionals) na siyo proffessionals tu watahitajika lkn lazima awe mwenye kujua/kubobea ktk aina iyo ya bia.
(2)market(soko) ukizingatia nafanya uzalishaji along those large firms..
Kama mdau wa hili jukwaa la ujasiriamali naomba ushauri wenu, hasa hasa kwa hizo changamoto hapo juu na changamoto zingine unazoweza kuzifahamu, Au ushauri wa namna gani naweza kuongeza thaman ktk hili zao la mpunga kuliko kila siku kuuza punje tu....
naomba kuwasilisha
Mimi ni mkulima wa kati wa mpunga (sio mkubwa sana wala mdogo sana). Kwa mwaka naingiza wastani wa gunia 1000 za mpunga. Huwa natenga kiasi kama gunia 10 kwa chakula cha familia na the rest nauza ktk miezi ya 12 na Januari pindi amabapo bei iko juu kiasi kwa maslahi zaidi. Kwa kipindi kirefu nimekua nikifikiria namna ya kuongeza thamani ya bidhaa yangu hii ya mpunga kabla ya kumfikia mteja wangu. Nimefanikiwa kwa kiasi flan kupata majibu lkn sio kwa 100%. Moja ya mambo nilifikiri kufanya ni
(1)Kujikita na utengenezaji wa vyakula mbalimbali kwa kutumia unga wa mchele mf(keki, etc) in a small scale home industry
(2) Kusafirisha nje ya nchi within east Africa kwa sbabu ya soko huria ingawa najua haliko kwa 100% by now.
(3) Beer crafting (utengenezaji wa bia) kwa kutumia mchele ambayo ni nzuri sana kiafya kuliko bia za kawaida. Nimejaribu kufanya research kidogo na kubaini kwamba inawezekana kutengeneza whats called (malted rice beer) ambayo kwa sasa inatengenezwa na (Spanish craft beer Institute in Spain). Siyo lazima kuanza kwa large scale production lkn unaweza kuanza na kiwanda kidogo kinachoweza kugharimu kama 50 millions only. nikijaribu kuangalia kwa haraka haraka ktk Tanzania yetu hakuna viwanda vidogo vya usindikaji wa bia zaidi ya viwanda vikubwa kama TBL na SBL. Naomba nieleweke ninapoongelea small scale beer production simaanishi local beer..
Mimi nimekua interested sana na uzalishaji wa bia kwa kuwa naona viwanda vidogo vya uzalishaji hakuna na kama vipo basi ni kidogo sana, kwa maana hiyo naweza nikapata faida nyingi kufanya uzalishaji ktk kiwango kidogo kama kupata interaction directly na customers wangu, management n.k ingawa najua large industries za bia hapa TZ ni kama monopoly kwa kua ziko kubwa chache.
Nimejaribu kuchanganua namna gani ntaanza na kukutana na changamoto nyingi kama
(1) elimu ya uzalishaji bia mimi sina kwa hiyo lazima ntahitaji mtu/watu waliobobea ktk secta iyo.(proffessionals) na siyo proffessionals tu watahitajika lkn lazima awe mwenye kujua/kubobea ktk aina iyo ya bia.
(2)market(soko) ukizingatia nafanya uzalishaji along those large firms..
Kama mdau wa hili jukwaa la ujasiriamali naomba ushauri wenu, hasa hasa kwa hizo changamoto hapo juu na changamoto zingine unazoweza kuzifahamu, Au ushauri wa namna gani naweza kuongeza thaman ktk hili zao la mpunga kuliko kila siku kuuza punje tu....
naomba kuwasilisha