:israel: Ni ukweli usiopingika Lake zone has a role in election, economy ya nchi, all the resources hazikutumika kuendeleza eneo hili, tunayoyaona leo ni reaction ya watu hao, tatizo linakuja last time wabunge wengi wa viti maalum walilalamikiwa sana kuwa kulikuwa na upendeleo kwamba wabunge wengi(viti maalum) walitoka kanda moja , tuna imani kuwa this time kutakuwa na na propotional representation, tunajua kuwa kulikuwa na list ya wabunge viti maalum amaaayo mliipata kupitia kwa ushauri wa watalamu wenu, lakini ningeshauri pia huo sio muarobaini changes can be made tuna tegemea watu kama Regia, rose kamili na leticia nyerere wanaweza rather than some body komu ambaye amekaa kusubuiri viti maalum hope ushauri wangu utakuwana manufaa kwa wapenda maendeleo wa chadema