Dr.Slaa anajua fika kuwa sheria ya kuhesabu kura ni vituoni na si vinginevyo.Ukipigwa kituoni umeliwa huna chako wataachia tu hawana ubavu.Dr.Slaa hana haja ya kukurupuka amejifunza mengi katika hii kampeni, hahitaji kuongea CCM wanajaribu kumtega alopoke.Imekula kwao
DR.SLAA usiongee chochote sheria wameziweka wenyewe acha ziwatafune hawakujua kama wewe ni SUNAMI??????
anaandaa sababu za kushindwa, probably atasema nimeibiwa, an usual song for wapinzani.
Anaandaa sababu za kushindwa, probably atasema nimeibiwa, an usual song for wapinzani.
Dr.Slaa anajua fika kuwa sheria ya kuhesabu kura ni vituoni na si vinginevyo.Ukipigwa kituoni umeliwa huna chako wataachia tu hawana ubavu.Dr.Slaa hana haja ya kukurupuka amejifunza mengi katika hii kampeni, hahitaji kuongea CCM wanajaribu kumtega alopoke.Imekula kwao
DR.SLAA usiongee chochote sheria wameziweka wenyewe acha ziwatafune hawakujua kama wewe ni SUNAMI??????
Anaandaa sababu za kushindwa, probably atasema nimeibiwa, an usual song for wapinzani.
We usituletee habari za upuuzi kwenye maisha ya watu. Huo ni upumbavu na mawazo potofu yaliyopitwa na wakati kwamba CCM kidumu. Slaa ni mtu makini hana fikra potofu kama zako hata hakishindwa inategemea ni ushindi wa CCM ukiwa wa KISHINDO kama msemavyo lazima mtakuwa mmeiba kwahiyo usikimbilie kusema kuna ni kisingizio cha wapinzani wakati ndio kawaida ya CCM kama wanaibiana kura wenyewe kwa wenyewe wakati wa kura za maoni itakuwa sasa.:bowl:
Anaandaa sababu za kushindwa, probably atasema nimeibiwa, an usual song for wapinzani.
kalala anapumzka kaiachia nec ifanye kazi yake
oh my God, nyie watu mtakufa kwa pressure, relax n accept tht slaa n chadema conclusively don't qualify 4 tht nation.