Jamani Matokeo ya urais yanachekesha sana kuyasikia, zile shutuma zilizovuja tarehe 10.10.2010 kuhusu kitengo flani nyeti katika nchi kinaandaa ushindi 'fake' wa asilimia 80% kwa JK na baadae zile nyaraka za kikao kilichafanywa mwanza tarehe 16 ambazo pia zilivuja siku chache tu baada ya kikao kile inatuambia kitu kimoja tu . . I know who I voted for. They also know. But only they know who received my vote!