Elections 2010 Slaa tuko nyuma yako fanya haya.............

mmaroroi

JF-Expert Member
May 8, 2008
2,960
544
1. Andaa vielelezo vyote vya wizi wa kura uvisambaze kwenye Ofisi za kibalozi na jumuia za kitaifa na kimataifa.
2. Uwe makini na sheria za kifisadi za TZ za kumuweka mtu kizuizini kwa machafuko.
3. Usigombee Uspika kwani si saizi yako(wewe ni Rais).
4. Epuka wapinzani wanaotumiwa na CCM.
5. Andaa operesheni nyangumi ili kujenga Chadema.
6. Tupe msimamo wako ili tuwe sawa kwani tuko njia panda.
7.........................
 
1. Andaa vielelezo vyote vya wizi wa kura uvisambaze kwenye Ofisi za kibalozi na jumuia za kitaifa na kimataifa.
2. Uwe makini na sheria za kifisadi za TZ za kumuweka mtu kizuizini kwa machafuko.
3. Usigombee Uspika kwani si saizi yako(wewe ni Rais).
4. Epuka wapinzani wanaotumiwa na CCM.
5. Andaa operesheni nyangumi ili kujenga Chadema.
6. Tupe msimamo wako ili tuwe sawa kwani tuko njia panda.
7.........................

Ondoa hiyo namba 6 au andika kitu kingine.
 
Hiyo namba 6 hapo juu ndilo jambo la maana kwa sasa. Haipaswi hata siku moja kukaa kimya, Dr Slaa ulisema kabla ya mshindi kutangazwa kuwa hutayakubali matokeo, baada ya matokeo tumesikia kampeni kali ikikutaka uyakubali matokeo. Sasa tunataka tamko la chama. SISI WENGINE TUMESHA YAKATAA MATOKEO NA TUMEMKATAA KIKWETE. SASA TUNATAKA MWONGOZO NI NINI CHA KUFANYA.
 
Hiyo namba 6 hapo juu ndilo jambo la maana kwa sasa. Haipaswi hata siku moja kukaa kimya, Dr Slaa ulisema kabla ya mshindi kutangazwa kuwa hutayakubali matokeo, baada ya matokeo tumesikia kampeni kali ikikutaka uyakubali matokeo. Sasa tunataka tamko la chama. SISI WENGINE TUMESHA YAKATAA MATOKEO NA TUMEMKATAA KIKWETE. SASA TUNATAKA MWONGOZO NI NINI CHA KUFANYA.

Tatizo muna haraka sana. Punguzeni munkari.

Chadema ni chama cha wasomi. Hawawezi kuruhusu Katibu wao (Dr. Slaa) kuongea tu ili mradi anaongea.

Mimi binafsi siko njiapanda.

Na nina uhakika jambo kubwa na zuri linakuja kutoka uongozi makini wa Chadema.
 
Hiyo namba 6 hapo juu ndilo jambo la maana kwa sasa. Haipaswi hata siku moja kukaa kimya, Dr Slaa ulisema kabla ya mshindi kutangazwa kuwa hutayakubali matokeo, baada ya matokeo tumesikia kampeni kali ikikutaka uyakubali matokeo. Sasa tunataka tamko la chama. SISI WENGINE TUMESHA YAKATAA MATOKEO NA TUMEMKATAA KIKWETE. SASA TUNATAKA MWONGOZO NI NINI CHA KUFANYA.
Kama ulikuwepo.Slaa ni Rais wa mioyoni mwetu hadi 2015.
 
Back
Top Bottom