Slaa ni living nyerere!!!

chidide

Member
Nov 11, 2010
91
9
[FONT=ArialMT, sans-serif]Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, amesema njia ipo nyeupe kwa viongozi na wanachama wanaotaka kuondoka katika chama hicho kwa sababu ya kutoridhishwa na mgawo wa viti maalum vya wanawake katika Bunge. [/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Akizungumza jana katika mkutano wa Baraza la Ushauri la Chadema jijini hapa, Dk. Slaa alisema tangu kumalizika kwa Uchaguzi Mkuu, yamejitokeza malalamiko kutoka kwa baadhi ya viongozi na wanachama kwamba mikoa yao haijapata wabunge wa viti maalum licha ya kuwapo wabunge wa majimbo.[/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Alisema miongoni mwa mikoa inayolalamika ni pamoja na Mbeya, ambao umepata wabunge wawili wa kuchaguliwa, lakini haukupata mbunge wa viti maalum.[/FONT]
“[FONT=ArialMT, sans-serif]Watu wa Mbeya mnalalamika sana kuhusu suala la viti maalum wakati Karatu tumeibeba Chadema toka mwaka 1995 hadi sasa, lakini hatujawahi kupewa viti maalum vya ubunge. Mbeya ni juzi tu ndiyo mmeanza kuibeba Chadema, halafu mnasema mnataka kuondoka kwenye chama. Tunasema ondokeni njia nyeupe kwa anayetaka kufanya hivyo,” alisema Dk. Slaa.[/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Alisema viongozi wasioelewa kuhusu utaratibu wa utoaji wa viti maalum wanakuwa na ubinafsi wakati Chadema viti maalum havitolewi kama zawadi na wala siyo hisani kama wanavyodhani baadhi ya watu, bali vina malengo yake.[/FONT]
CHANZO: NIPASHE

Slaa ni my Living Nyerere. Haumi maneno, kwake ni bora watu wamchukie kwa kusimamia ukweli.Na hii ndio moja ya vitu vilivyofanya Nyerere apendwe na aaminike. Kwa kweli kwangu mimii huyu ni mwanasiasa bora wa Taifa kwa sasa na itakuchukua muda mrefu kutokea mwanasiasa mwingine kama yeye. Fikiria aliona ni bora AKAE kimya baada ya matokeo yake kuanza kuchakachuliwa, kama angekuwa mbinafsi Tanzania leo ingekuwa kama Ivory Coast. SLAA wewe ni mwanga kwenye GIZA NENE!!!
 
Slaa amepambana kwa mengi hata hao SISI M wanajua ndio maana hata mkuu wa nchi na baadhi ya mawaziri walikuwa wanatekeleza aliyokuwa anayasema kwa kifupi miaka mitano iliyopita ndiye alikuwa akiongoza nchi.
Slaa ni my Living Nyerere wa kweli amini usiamini. Harembi maneno, kwake kusimamia ukweli tu.Na hii ndio moja ya vitu vilivyofanya Nyerere apendwe na aaminike. Tukubalu tusikubali huyu ni mwanasiasa bora wa Taifa kwa sasa itachukua muda mrefu sana kupata mwanasiasa mwingine kama yeye. Fikiria aliona ni bora AKAE kimya baada ya matokeo yake kuanza kuchakachuliwa, kama angekuwa mbinafsi Tanzania leo ingekuwa kama Ivory Coast. Lakini yeye kwa busara akatulia na kuongea kwa hekima
 
Ni kweli kabisa Dr. Slaa hakuna kama yeye, si mbinafsi, si mnafiki , hana tamaa! Yuko tayari kufa kwa ajili ys nchi yake.
 
sawa kabisa, hasa suala la kukaa kimya baada ya kuibiwa ushindi na CCM, tena alisema hawezi kwenda Ikulu kwa damu kumwagika. Sasa CCM kwa mambo ya Umeya wa Arusha na Mwanza inaonyesha jinsi gani hamkuwa tayari kuaachia serikali kwa Chadema. Tena nasikia JK akiwa pale Arusha katika ufungizi wa hotel ya Mount Meru alitamka Meya wa Arusha atoke CCM.... sasa kuna umsemo kwamba matakwa ya mkubwa ni amri.....
 
Muulize Prof Lipumba! kichuguu tangu lini kikafananishwa na Mlima Kilimanjaro? huwezi kuwa hujalewa hadi kufananisha usingizi na kifo!
Nyerere hawezi hata kidogo kufanata na Slaaaaa! this is just another crap!
 
Muulize Prof Lipumba! kichuguu tangu lini kikafananishwa na Mlima Kilimanjaro? huwezi kuwa hujalewa hadi kufananisha usingizi na kifo!
Nyerere hawezi hata kidogo kufanata na Slaaaaa! this is just another crap!

Huu ni wivu tu! Kwa nini Nyerere asifananishwe na Slaa. Mie nafikiri Slaa amemzidi Nyerere. Wapi Nyerere alifanya kama Slaa! Kuwataja watuhumiwa wa Ufisadi "List of Shame" inayomjumuisha na rais wa Nchi. Wakati akiwa rais mstaaf Nyerere mbona hakufanya hivyo? Slaa alikuwa mbunge tu, akamtaja rais wake kuwa ni miongoni mwa mafisadi. Slaa bado ana nafasi ya kufanya zaidi. Nyerere aliua demokrasia kwa kuiweka CCM kama serikali! Nyerere aliona mambo yamemshinda akasema anang'atuka. Siasa zake zimeshindwa na zimekufa. Slaa akipewa urais atafanya makubwa zaidi.
 
[FONT=ArialMT, sans-serif]Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, amesema njia ipo nyeupe kwa viongozi na wanachama wanaotaka kuondoka katika chama hicho kwa sababu ya kutoridhishwa na mgawo wa viti maalum vya wanawake katika Bunge. [/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Akizungumza jana katika mkutano wa Baraza la Ushauri la Chadema jijini hapa, Dk. Slaa alisema tangu kumalizika kwa Uchaguzi Mkuu, yamejitokeza malalamiko kutoka kwa baadhi ya viongozi na wanachama kwamba mikoa yao haijapata wabunge wa viti maalum licha ya kuwapo wabunge wa majimbo.[/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Alisema miongoni mwa mikoa inayolalamika ni pamoja na Mbeya, ambao umepata wabunge wawili wa kuchaguliwa, lakini haukupata mbunge wa viti maalum.[/FONT]
"[FONT=ArialMT, sans-serif]Watu wa Mbeya mnalalamika sana kuhusu suala la viti maalum wakati Karatu tumeibeba Chadema toka mwaka 1995 hadi sasa, lakini hatujawahi kupewa viti maalum vya ubunge. Mbeya ni juzi tu ndiyo mmeanza kuibeba Chadema, halafu mnasema mnataka kuondoka kwenye chama. Tunasema ondokeni njia nyeupe kwa anayetaka kufanya hivyo," alisema Dk. Slaa.[/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Alisema viongozi wasioelewa kuhusu utaratibu wa utoaji wa viti maalum wanakuwa na ubinafsi wakati Chadema viti maalum havitolewi kama zawadi na wala siyo hisani kama wanavyodhani baadhi ya watu, bali vina malengo yake.[/FONT]
CHANZO: NIPASHE

Slaa ni my Living Nyerere. Haumi maneno, kwake ni bora watu wamchukie kwa kusimamia ukweli.Na hii ndio moja ya vitu vilivyofanya Nyerere apendwe na aaminike. Kwa kweli kwangu mimii huyu ni mwanasiasa bora wa Taifa kwa sasa na itakuchukua muda mrefu kutokea mwanasiasa mwingine kama yeye. Fikiria aliona ni bora AKAE kimya baada ya matokeo yake kuanza kuchakachuliwa, kama angekuwa mbinafsi Tanzania leo ingekuwa kama Ivory Coast. SLAA wewe ni mwanga kwenye GIZA NENE!!!

Nakuunga mkono chidide, Hatuwezi kumpata kiongozi ka Dr.Slaa kwa wakati huu maana hapendi kusema uwongo hata kidogo, na yuko kwa ajili ya maslahi ya watu na si yake kama wengine wanavyofanya.
Kumbuka alikuwa ni mbunge wa kwanza kutaka mishahara ya wabunge ipunguzwe.

Peoples power
 
Muulize Prof Lipumba! kichuguu tangu lini kikafananishwa na Mlima Kilimanjaro? huwezi kuwa hujalewa hadi kufananisha usingizi na kifo!
Nyerere hawezi hata kidogo kufanata na Slaaaaa! this is just another crap!

Humu JF hatutaki chuki binafsi kama wewe uko makini hata lipumba alikiri baada ya uchaguzi Dr.Slaa si kichuguu baada ya waTZ kumpa kura nyingi za kutosha , CCM wakaiba hadi zikabaki 2.26mil, Tutake radhi
 
Muulize Prof Lipumba! kichuguu tangu lini kikafananishwa na Mlima Kilimanjaro? huwezi kuwa hujalewa hadi kufananisha usingizi na kifo!
Nyerere hawezi hata kidogo kufanata na Slaaaaa! this is just another crap!

Tupe msimamo wa Lipumba rais wa CCM-B ili tumfaninishe na kifusi. Aliishia wapi kwenye uchaguzi; vumbi jepesi
 
Nakubalina na wewe kuwa "slaa ni living Nyerere", kwani Nyerere aliwaambia hivyo hivyo wana CCM wenziwe waliotaka mabadiliko ndani ya CCM, kumbuka akina Seif Sharif na wenzake miaka 1987-1989 walipokuwa wanapigania mabadiliko ndani ya CCM, kumbuka pia G55; kundi la wabungu 55 wa CCM waliodai serikali tatu bungeni, wote hawa waliwaambiwa kuwa wapinge chama wakiwa nje ya chama Hivyo. Mimi kwangu kumfananisha na Nyerere kwa kuwataka watu watoke chamani kuonesha kutoridhika maana yake ni Dictator kama alivyokuwa Nyerere, Nyerere aliziona fikra zake ndio kila kitu, na leo ndio tunalia na kero za muungano, hizi sio kero za muungano bali ni "kero za Nyerere".
 
[FONT=ArialMT, sans-serif]Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, amesema njia ipo nyeupe kwa viongozi na wanachama wanaotaka kuondoka katika chama hicho kwa sababu ya kutoridhishwa na mgawo wa viti maalum vya wanawake katika Bunge. [/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Akizungumza jana katika mkutano wa Baraza la Ushauri la Chadema jijini hapa, Dk. Slaa alisema tangu kumalizika kwa Uchaguzi Mkuu, yamejitokeza malalamiko kutoka kwa baadhi ya viongozi na wanachama kwamba mikoa yao haijapata wabunge wa viti maalum licha ya kuwapo wabunge wa majimbo.[/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Alisema miongoni mwa mikoa inayolalamika ni pamoja na Mbeya, ambao umepata wabunge wawili wa kuchaguliwa, lakini haukupata mbunge wa viti maalum.[/FONT]
“[FONT=ArialMT, sans-serif]Watu wa Mbeya mnalalamika sana kuhusu suala la viti maalum wakati Karatu tumeibeba Chadema toka mwaka 1995 hadi sasa, lakini hatujawahi kupewa viti maalum vya ubunge. Mbeya ni juzi tu ndiyo mmeanza kuibeba Chadema, halafu mnasema mnataka kuondoka kwenye chama. Tunasema ondokeni njia nyeupe kwa anayetaka kufanya hivyo,” alisema Dk. Slaa.[/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Alisema viongozi wasioelewa kuhusu utaratibu wa utoaji wa viti maalum wanakuwa na ubinafsi wakati Chadema viti maalum havitolewi kama zawadi na wala siyo hisani kama wanavyodhani baadhi ya watu, bali vina malengo yake.[/FONT]
CHANZO: NIPASHE

Slaa ni my Living Nyerere. Haumi maneno, kwake ni bora watu wamchukie kwa kusimamia ukweli.Na hii ndio moja ya vitu vilivyofanya Nyerere apendwe na aaminike. Kwa kweli kwangu mimii huyu ni mwanasiasa bora wa Taifa kwa sasa na itakuchukua muda mrefu kutokea mwanasiasa mwingine kama yeye. Fikiria aliona ni bora AKAE kimya baada ya matokeo yake kuanza kuchakachuliwa, kama angekuwa mbinafsi Tanzania leo ingekuwa kama Ivory Coast. SLAA wewe ni mwanga kwenye GIZA NENE!!!


Hebu nijibu haya maswali ili nami niweze kuamini hayo uyaaminiyo
  1. Je Nyerere alipendelea kuwapa watu madaraka?
  2. Je Nyerere alichukua /kupora mke wa mtu?
  3. Je Nyerere alihubiri udini kwenye uchaguzi?
  4. Je Nyerere alikuwa mchochea vurugu ?
 
Hebu nijibu haya maswali ili nami niweze kuamini hayo uyaaminiyo
  1. Je Nyerere alipendelea kuwapa watu madaraka?
  2. Je Nyerere alichukua /kupora mke wa mtu?
  3. Je Nyerere alihubiri udini kwenye uchaguzi?
  4. Je Nyerere alikuwa mchochea vurugu ?

Kinachoongelewa hapa siyo mambo binafsi na mepesi kama ulivyoorodhesha. Mbona uko hivyo!! Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo mno mno tu. Nahisi hauko sawa. tafakari kabla ya kufanya jambo. Dr. Slaa huwezi kumlinganisha na kiongozi yeyote wa sasa hapa Tanzania. Jaribu ulinganishe Dr.Slaa na Dr. Kikwete. Mfano: CCM kuogopa kumtuma Dr.Kikwete kwenye midahalo ya Urais na wenzake ni kuwa haaminiki kabisa.
 
Ningeomba title ikae ivi: mwl. Nyerere afanana na Dr.Slaa. Mwl alimtangulia slaa lakini anayofanya slaa mwl.aliyaogopa mwl kabla ajaacha mwili alikuwa akichukia na kuiponda ccm na ufisadi kwa mafungo,alifika hatua akataka kurudisha kadi ila si hadharani,mwl aliwaogopa sana wenzie ila leo dr.anasema kamwe Cdm haiko tayari kuona kiongoz mwandamizi wa chama akivunja taratibu,wanaonyana hana kwa hana. Huu ni ujasiri mkubwa. Mwl alisema jeykey ajakomaa kifikra na kimawazo kuikokota nchi na Edward Lowasa ni mchafu,je alishindwa kuueleza umma kuwa ni mafisadi?mtanzania wa darasa la nne akisikia kuwa mtu ni mchafu anaoji kwa nini asioge,ila angeambiwa ni mdokozi wa umma kamwe leo angekuwa anafuga kuku monduli. Leo dr.anasema hawa ni mafisadi mapapa! Kweli nyerere afanana na Slaa,tofauti ni nani alitangulia tu! Dr Slaa tunakuamini!
 
Hebu nijibu haya maswali ili nami niweze kuamini hayo uyaaminiyo
  1. Je Nyerere alipendelea kuwapa watu madaraka?
  2. Je Nyerere alichukua /kupora mke wa mtu?
  3. Je Nyerere alihubiri udini kwenye uchaguzi?
  4. Je Nyerere alikuwa mchochea vurugu ?

ni lazima tu uyaamini maana
  1. Nyerere hakupendelea kuwapa watu madaraka kama Slaa asivyopendelea!
  2. Nyerere hakuchukua/kupora mke wa mtu kama Slaa ambavyo hajapora mke wa mtu bali amechumbia mwanamke aliyeachika!
  3. Nyerere hakuhubiri udini kwenye uchaguzi kama Dr. Slaa bali kikwete ndiye Mdini kwa kutumia misikiti
  4. Nerere hakuchochea vurugu kama Dk Slaa ambavyo amekuwa akihimiza watu kutulia na kuwaacha CCM wakiiba kweupe bila kuitisha maandamano ya kulaani uchakachuaji.
 
Back
Top Bottom