janja pwani
Senior Member
- Jul 27, 2011
- 104
- 9
Dr wilbroad peter slaa ana record nzuri aliyoiacha bungeni kwa kufichua ufisadi, pia ni mpambanaji, jasiri, na ana mtaji wa kura 2200,000/= alizozipata katika uchaguzi wa mwaka 2010 na ndie aliyepelekea chadema kupata wabunge weng katika uchaguzi uliofanyika mwaka jana ni mwanasiasa wa mrengo wa kulia. udhaifu: 1. ana kubalika sana na wapiga kura wa imani yake 2. ana penda sana siasa za propaganda zisizo na ukweli mf. suala la masanduku ya kura tunduma.
ZITTO: ni mjenga hoja mzuri ni mbunge na anaendelea kushikilia ubunge wake mpaka sasa ni mwenyekiti wa mashirika ya umma, amefanya kazi yake vizuri na anaendelea kuifanya, ni jasiri na ni mwenye siasa za mrengo wa kati, ameifanya kazi ya kuijenga chadema ktk operation tofauti, ana pendwa na watu rika zote na imani zote. udhaifu: msimamo wake ni wa kuyumba yumba: je? wanaJF ni nani kati ya hawa tukimsimamisha CCM itaondoka kiulaini?
ZITTO: ni mjenga hoja mzuri ni mbunge na anaendelea kushikilia ubunge wake mpaka sasa ni mwenyekiti wa mashirika ya umma, amefanya kazi yake vizuri na anaendelea kuifanya, ni jasiri na ni mwenye siasa za mrengo wa kati, ameifanya kazi ya kuijenga chadema ktk operation tofauti, ana pendwa na watu rika zote na imani zote. udhaifu: msimamo wake ni wa kuyumba yumba: je? wanaJF ni nani kati ya hawa tukimsimamisha CCM itaondoka kiulaini?