Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,420
- 2,271
Mkuu ingependeza kama ungekanusha maelezo yangu kama sio sahihi...Kibunango tangu lini ulianza kuungua mental diorder? Siamini kwamba ni wewe uliyeweka post hiyo hapo juu!
Mkuu ingependeza kama ungekanusha maelezo yangu kama sio sahihi...Kibunango tangu lini ulianza kuungua mental diorder? Siamini kwamba ni wewe uliyeweka post hiyo hapo juu!
Tuijali nchi yetu. CCM ipumzishwe mwaka huu. Binafsi nitajitahidi kushawishi watu wengine zaidi ya kumi ili wamchague Dr. Slaa, huu ndiyo mchango wangu kwa nchi yangu Tanzania.
Mkuu ingependeza kama ungekanusha maelezo yangu kama sio sahihi...
Huyo Slaa kajaza mafisadi tokea ngazi ja juu ya chama chake hadi chini... Mbaya zaidi yeye mwenyewe ni fisadi kiwembe...
Bibie Josephine akimpiga tafu slaa..
Hayo mambo ya uchifu, ukamanda na mengineyo kama hayo ni vikwelembezo tu vya uchaguzi havina uhusiano wa moja kwa moja na mwelekeo wa Taifa.Shem siku ukiachana na Kidumu Chama Cha Kifisadi utakuwa bomba sana! Nakuombea sana ufahamu ukweli, hebu niambie kuhusu Chifu Mwangupili na Chifu Mwailemale! Tunaelekea wapi kama taifa
That will work if and only if those homeland security chiefs are Muslims.
Vinginevyo CCM wanatwanga maji kwenye kinu