Elections 2010 Slaa kahudhurie kuapishwa rais kesho.

MIGNON

JF-Expert Member
Nov 23, 2009
4,079
5,042
Pamoja na kuwa una uchungu wa kura kuchakachliwa lakini naamini umepata ushidi mkubwa katika uchaguzi huu kwa kuimarisha chama chako na pia kusaidia kutoa wabunge wengi wa upinzani,ni lazima tumshukuru MUNGU kwa hili.
Watu wengi wapo nyuma yako na ili uweze ku pr empty mipango yao kesho hudhuria na utakuwa kivutio kikubwa kwa wote.Utangazie umma kuwa utakwenda na utaona support utakayopata.
Umejitahidi mno na tunaamini CHADEMA kitaimarika zaidi kwani ruzuku itaongezeka na tutakuwa na uwezo wa kuwafikia watu wengi zaidi.
Matokeo haya ni ushindi mkubwa na "life will never be the same again",cement na mabati vitashuka bei tu tena kimya kimya.
Tutangazie kesho tukusindikize.
 
i think he should use his time more productively; aandae kesi za kuwasaidia wabunge wa :-
magu, segelea, shinyanga, tarime, etc kwenda mahakamani:smile:
 
Pamoja na kuwa una uchungu wa kura kuchakachliwa lakini naamini umepata ushidi mkubwa katika uchaguzi huu kwa kuimarisha chama chako na pia kusaidia kutoa wabunge wengi wa upinzani,ni lazima tumshukuru MUNGU kwa hili.
Watu wengi wapo nyuma yako na ili uweze ku pr empty mipango yao kesho hudhuria na utakuwa kivutio kikubwa kwa wote.Utangazie umma kuwa utakwenda na utaona support utakayopata.
Umejitahidi mno na tunaamini CHADEMA kitaimarika zaidi kwani ruzuku itaongezeka na tutakuwa na uwezo wa kuwafikia watu wengi zaidi.
Matokeo haya ni ushindi mkubwa na "life will never be the same again",cement na mabati vitashuka bei tu tena kimya kimya.
Tutangazie kesho tukusindikize.

Anaamini kadhulumiwa. Akiendelea kuzira zira 2015 ndiyo percent itapungua zaidi. Kweli kabisa ni bora akaanza kujionyesha sasa!
 
Pamoja na kuwa una uchungu wa kura kuchakachliwa lakini naamini umepata ushidi mkubwa katika uchaguzi huu kwa kuimarisha chama chako na pia kusaidia kutoa wabunge wengi wa upinzani,ni lazima tumshukuru MUNGU kwa hili.
Watu wengi wapo nyuma yako na ili uweze ku pr empty mipango yao kesho hudhuria na utakuwa kivutio kikubwa kwa wote.Utangazie umma kuwa utakwenda na utaona support utakayopata.
Umejitahidi mno na tunaamini CHADEMA kitaimarika zaidi kwani ruzuku itaongezeka na tutakuwa na uwezo wa kuwafikia watu wengi zaidi.
Matokeo haya ni ushindi mkubwa na "life will never be the same again",cement na mabati vitashuka bei tu tena kimya kimya.
Tutangazie kesho tukusindikize.

Hakuna haja ya kwenda

narudia tena hakuna haja ya kwenda
 
Dear VoiceOF reason,I am not happy with the current attacks from the son of the president,deputy Chief of UWT and today from Lowassa.If he stays indoor for long he will allow his enemies to cause damage that may not be rectifiable.
 
Mzalendo yeyote ama mtu anayejua nini maana ya utanzania hawezi kanyaga pale
 
Anaamini kadhulumiwa. Akiendelea kuzira zira 2015 ndiyo percent itapungua zaidi. Kweli kabisa ni bora akaanza kujionyesha sasa!

Ukishakataa matokeo unakwenda kuhudhuria nini? Dr Slaa sidhani kama ni busara kwenda, huko hao jamaa wasivyo na busara watakudhihaki tu. Msimamo ni ule ule, hatukubali matokeo na waache wamwapishe tu rais wao lakini sisi hatumtambui mpaka mwisho wa kipindi chake.
 
Waungwana ni kama hawa.. huyo slaa ni limbukeni
lipumba.jpg
 
Slaa ahudhurie kuapishwa kwa kikwete ili ampongenze kikwete kwa utaalamu wake wa kumwibia kura au kwa lipi?
 
Mkumbato wa Lipmba na Jk mbona ina walakini? Wanaume hawapeani shavu hivyo! Hii picha ina walakini. Lipummba atakuwa ameahidiwa mengi na Jk, ila ajue mkwere ni mnafiki..
 
Waungwana ni kama hawa.. huyo slaa ni limbukeni
lipumba.jpg
kibunango umenena hawa ndio waungwana nandio wanasiasa wakweli,sio limbukeni kama slaa anaetaka kuingia ikulu hata kwakumwaga damu,ikulu hawaingii wapuuzi kama yeye wanaoropoka bila mpango,apotelee mbali huko aende kwao akanywe mbege,asahau kuwa hata mbunge wacha urais,heshima yake imeshuka mno,jamii yote yakistaarabu yatanzania imemdharau mno,hatatutaki wahuni watutawale.
 
Slaa usikanyage kwenye hiyo sherehe ni nuksi maana ataanguka tena na utasingiziwa bure!
 
Kama hakuwepo leo kesho sidhani kama atakuwepo.
Si unajua yuko bize kudraft evidences za mahakamani ili majimbo yaliyopokwa yarejee CHADEMA
 
Wewe mwizi kaja kavunja mlango kachukua pesa zako, kesho anaitisha kikao cha kujipongeza kuwa ni milionea halafu na wewe unakwenda kumpongeza? Wapi na wapi? Dr. Slaa wala usinde huko, waache wajiapishe wenyewe huku dhamiri zao zikiwashitaki.
 
to me this will only be waste of taxpayers money na kupoteza airtime za bure kwenye TV and radios
 
angetangaza tangu jana kuwa anaenda then shabiki wake tuw huko u see akiingia tu tunasimamam na kuimba rais, raisi,....! why asiende?yes wameiba but face them, na ukiwa pale unawaambia usoni bwana naenda mahakamani mimi! ushahidi ninao, so u are not safe man!
 
kibunango umenena hawa ndio waungwana nandio wanasiasa wakweli,sio limbukeni kama slaa anaetaka kuingia ikulu hata kwakumwaga damu,ikulu hawaingii wapuuzi kama yeye wanaoropoka bila mpango,apotelee mbali huko aende kwao akanywe mbege,asahau kuwa hata mbunge wacha urais,heshima yake imeshuka mno,jamii yote yakistaarabu yatanzania imemdharau mno,hatatutaki wahuni watutawale.

Kuwa makini na matumizi ya lugha, usipende kujumuisha umma wa Tanzania katika kuelezea hisia zako na mapenzi yako.
Mwenye macho haa mbiwi Tazama. Soma alama za nyakati ndipo ueleze hisia zako binafsi bila kujumuisha jamii yote.
Sidhani kama wewe unastaarabu unao usemea kwani kwa lugha uliyotumia una dhihirisha ni jinsi gani ulivyo!!!!!!!!!!!!:tape:
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom