kadagala1
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 5,941
- 6,213
aiseeDr. Slaa siku hizi kajikita kwenye kuboresha biashara ya gongo...
aiseeDr. Slaa siku hizi kajikita kwenye kuboresha biashara ya gongo...
Halafu wewe Leo hii uko chadema pamoja na Lema. Akili yako Na Lema zinafanana kwa sasaHuyu Mzee sio mpenzi wa ukweli, Kauli zake nyingi zimejaa uchochezi, fitna, majungu na ulaghai.
Kule Arusha alisema nchi haitatawalika tena, vijana wa CHADEMA wakampiga mawe juzi, akakimbilia Polisi.
Akili za babu na za LEMA kama zimefanana vile!
Leo hii mmiliki wa chadema Na mgombea urais wa 2015 Na 2020 ni mwana ccm aliyekatwaKweli nimeamini ili uwe muumini wa CCM lazima akili zako ziwe zimedumaa na kuwa kama hawa hapa chini. Hata Karume alilisema Dodoma.
View attachment 126138
View attachment 126139
hell noHivi Dr. Slaa Bado ni mnafiki?