Mashamba
JF-Expert Member
- Sep 1, 2011
- 418
- 101
Huko mtakutana na MATATA siongei sana
Huyo hana lolote zaidi ya ushirikina
Huko mtakutana na MATATA siongei sana
Sasa huyu babu aaminike kwa lipi maana kauli zake nyingi zina utata.
Ndiyo wamegundua kodi zetu wote ndiyo zinawalipa mishahara na masurufu yote! bila kujali lichama lile la mafisi watafunaji wa kodi!!Haya ni maneno ya Slaa;
Tunawasubiri tuone hatima yao ni nini, sisi tunajua Jeshi la Polisi limeshajitoa kulinda viongozi wa CHADEMA sasa kwanini tusijilinde wenyewe, alisema Dk. Slaa.
Source: Chadema Blog: Slaa aparura Polisi
Namuuliza Dr.W.Slaa, kwanini aliwadanganya Watanzania kwa maneno hayo? Ilhali Slaa mwenyewe yuko bega kwa bega akipewa ulinzi na Polisi, hivi:
Kama Slaa huo si unafik na ufataani ni nini?
Moderator tafadhali uwache huu uzi, una mafundisho makubwa sana, Bi Kidude anasema, usitukane wakunga na uzazi ungalipo.
Chadema mtaokuja hapa na kuiponda Polisi tutawaona wote kuwa ni wanafik, viongozi wenu na nyinyi wenyewe mnategemea ulinzi wa Jeshi la Polisi saa 24, siku 365 mchana na usiku.
ccm =chama cha mafisindiyo wamegundua kodi zetu wote ndiyo zinawalipa mishahara na masurufu yote! Bila kujali lichama lile la mafisi watafunaji wa kodi!!
Sasa wewe FaizaFoxy na wenzako, mlitaka polisi wakifanya makosa wasikemewe..??
Pia mlitaka polisi wasijirekebishe makosa yao ya kuegemea upande wa CCM..??
Naona sasa zile 'single' za kumtaka Dr. Slaa asikanyake Kigoma zimeisha..!!
Poleni sana, mlidanganywa na 'mtabiri' wenu Kimbunga kuwa ziara ya Dr. Slaa haitafanikiwa..!! na kwa mab ziara hiyo ingeahirishwa..!!
Sasa mmewageukia polisi...??
Ogopeni sana watu 'wanaotabiri'..!!
Wapi sixgates..??
Sixgates alitoka 'nduki' kule Kigoma...!!
sasa hivi mmebadili nyimbo mulianza kusema asikanyage Kigoma sasa ndo anaondoka Kigoma, anzeni na ya Mbowe kule Mwanza, Waganga njaa nyie
..
...Hao polisi wanalipwa na nani?
Huko mtakutana na MATATA siongei sana
Huko mtakutana na MATATA siongei sana
Huko mtakutana na MATATA siongei sana