Elections 2010 SLAA azuiwa kuhutubia!

Mtembezi

Member
Oct 28, 2010
43
0
jAMANIN MI MTEMBEZI,Nipo matembezini nikifanya coverage ya uchaguzi.kama wengi mnavyojua jana Dr slaa alitakiwa kuhutubia katika viwanja vya mwembetogwa manispaa ya Iringa lkn hakufanya hivyo kutokana na kuchelewa kufika.Usiku akawasiliana na umma wa Iringa kupitia Radio country Fm kwa almost masaa matatu.
Ilipofika mapema asubuhi,kama kawaida ya mtembezi nilidamkia katika viwanja vya mwembe togwa baada ya kupata taarifa kuwa mheshimiwa angehutubia katika uwanja huo.Nimepokewa na umati wa polisi nikahisi jambo! cause hata wananchi walikuwa hawajaanza kukusanyika.Baada ya muda napokea simu naulizwa kama nina taarifa za Dr slaa kuzuiwa kuhutubia.Nime dodosa hapa na pale naambiwa polisi wa ccm wamemzuia!kisa? SIYO RATIBA YAKE KUHUTUBIA ASUBUHI HII-nimejiuliza sana angekuwa kiongozi wa CCM ?kwa hivi sasa anajiandaa kupita mji huu kuelekea NJOMBE.
brrrrreaking news..taarifa atafanya kikao cha ndani katika shule ya msingi mlandege dakika chache zijazo on his way to njombe.
 
Je ni kweli? kama ndio acheni kulialia...........

Kanuni za uchaguzi na maadili ya uchaguzi yanampa mgombea urais kufanya mkutano popote pale isipokiuwa kama kuna mgombea urais aliye wahi kufika na inapotokea mgombea urais yupo kwenye jimbo husika basi kampeni za wabunge wenye ratiba kwenye eneo husika itasitishwa. Mgombea Urais hana ratiba popote atahutubia
 
Kanuni za uchaguzi na maadili ya uchaguzi yanampa mgombea urais kufanya mkutano popote pale isipokiuwa kama kuna mgombea urais aliye wahi kufika na inapotokea mgombea urais yupo kwenye jimbo husika basi kampeni za wabunge wenye ratiba kwenye eneo husika itasitishwa. Mgombea Urais hana ratiba popote atahutubia

Achana na hao kina Sokomoko -- mambumbumbu wa CCM -- zao la shule za kata wasiojua chochote isipokuwa kushabikia sura ya JK kwa upofu mkubwa.
 
Achana na hao kina Sokomoko -- mambumbumbu wa CCM -- zao la shule za kata wasiojua chochote isipokuwa kushabikia sura ya JK kwa upofu mkubwa.
Haya bwana wewe uliye zao la shule za St. Inaonesha unaendekeza ubaguzi kwa sana wewe!
 
jamanin mi mtembezi,nipo matembezini nikifanya coverage ya uchaguzi.kama wengi mnavyojua jana dr slaa alitakiwa kuhutubia katika viwanja vya mwembetogwa manispaa ya iringa lkn hakufanya hivyo kutokana na kuchelewa kufika.usiku akawasiliana na umma wa iringa kupitia radio country fm kwa almost masaa matatu.
Ilipofika mapema asubuhi,kama kawaida ya mtembezi nilidamkia katika viwanja vya mwembe togwa baada ya kupata taarifa kuwa mheshimiwa angehutubia katika uwanja huo.nimepokewa na umati wa polisi nikahisi jambo! Cause hata wananchi walikuwa hawajaanza kukusanyika.baada ya muda napokea simu naulizwa kama nina taarifa za dr slaa kuzuiwa kuhutubia.nime dodosa hapa na pale naambiwa polisi wa ccm wamemzuia!kisa? Siyo ratiba yake kuhutubia asubuhi hii-nimejiuliza sana angekuwa kiongozi wa ccm ?kwa hivi sasa anajiandaa kupita mji huu kuelekea njombe.
Brrrrreaking news..taarifa atafanya kikao cha ndani katika shule ya msingi mlandege dakika chache zijazo on his way to njombe.

kapige kura
 
Achana na hao kina Sokomoko -- mambumbumbu wa CCM -- zao la shule za kata wasiojua chochote isipokuwa kushabikia sura ya JK kwa upofu mkubwa.
sokomoko ni CUF damu, sema si cuf na ccm ni mtu na mdogo!
 
Si kasema kweli lakini? unategemea nini kwenye mazao ya shule za kata?
Rome was not built a day! Ni heri ya shule za kata kuliko kutokuwa nazo kabisa. Kama wewe ulibahatika kwenda St. Schools ukapata elimu ya sekondari basi mshukuru Mungu. Wengine hizo shule za kata ndiyo zimetufanya tuone wadogo zetu wakinusa hata kujua definitions za physics, biology, chemistry n.k. Hata kama hazipo effective zitakuwa. Kumbuka (excluding wewe uliyesoma St.s) wazazi wetu hata shule za msingi au middle schools walisoma zikiwa umbali mkubwa sana na walipokuwa wakiishi. Mtu alikuwa anatembea zaidi ya kilomita kumi kwa siku kwenda shule. Kwa sasa kuna unafuu, kinachotakiwa ni kuziimairsha hizzo shule zitoe elimu nzuri na sio kuzidharau kama inavyofanyika hapa.
 
huko maswa chadema imezuiwa siku mbuli , haya iringa chadema yazuiwa tena lakini wananchi wanajiuliza kwanini chadema wafanyiwe hivi? chama cha kukipigia kura wameisha kijua iwepo kampeni isiwepo wao na maendeleo tu na si ufisudi.
kilimanjaro bilal alihutubia nje ya ratiba, sasa hivi kuna jimbo ccm wameu je kampeni zao zimezuiwa. hata wafanye njama gani tutafika tu
 
Rome was not built a day! Ni heri ya shule za kata kuliko kutokuwa nazo kabisa. Kama wewe ulibahatika kwenda St. Schools ukapata elimu ya sekondari basi mshukuru Mungu. Wengine hizo shule za kata ndiyo zimetufanya tuone wadogo zetu wakinusa hata kujua definitions za physics, biology, chemistry n.k. Hata kama hazipo effective zitakuwa. Kumbuka (excluding wewe uliyesoma St.s) wazazi wetu hata shule za msingi au middle schools walisoma zikiwa umbali mkubwa sana na walipokuwa wakiishi. Mtu alikuwa anatembea zaidi ya kilomita kumi kwa siku kwenda shule. Kwa sasa kuna unafuu, kinachotakiwa ni kuziimairsha hizzo shule zitoe elimu nzuri na sio kuzidharau kama inavyofanyika hapa.

Futa machozi...na nyamaza kulialia
 
Rome was not built a day! Ni heri ya shule za kata kuliko kutokuwa nazo kabisa. Kama wewe ulibahatika kwenda St. Schools ukapata elimu ya sekondari basi mshukuru Mungu. Wengine hizo shule za kata ndiyo zimetufanya tuone wadogo zetu wakinusa hata kujua definitions za physics, biology, chemistry n.k. Hata kama hazipo effective zitakuwa. Kumbuka (excluding wewe uliyesoma St.s) wazazi wetu hata shule za msingi au middle schools walisoma zikiwa umbali mkubwa sana na walipokuwa wakiishi. Mtu alikuwa anatembea zaidi ya kilomita kumi kwa siku kwenda shule. Kwa sasa kuna unafuu, kinachotakiwa ni kuziimairsha hizzo shule zitoe elimu nzuri na sio kuzidharau kama inavyofanyika hapa.

kwa hiyo wakijua definition? Think big Avanti.
 
jamni wote twajua kuwa sas hivi ni mda wa lala salama, tuache kudanganyana kuwa amezuiliwa lets call a sped a sped mda wake ulikuwa juzi hakuutumia kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wake basi aendelee mbele, watu mcpende hadi mkawa ngoswe kweni penzi likawa kitovu cha uzembe
 
Rome was not built a day! Ni heri ya shule za kata kuliko kutokuwa nazo kabisa. Kama wewe ulibahatika kwenda St. Schools ukapata elimu ya sekondari basi mshukuru Mungu. Wengine hizo shule za kata ndiyo zimetufanya tuone wadogo zetu wakinusa hata kujua definitions za physics, biology, chemistry n.k. Hata kama hazipo effective zitakuwa. Kumbuka (excluding wewe uliyesoma St.s) wazazi wetu hata shule za msingi au middle schools walisoma zikiwa umbali mkubwa sana na walipokuwa wakiishi. Mtu alikuwa anatembea zaidi ya kilomita kumi kwa siku kwenda shule. Kwa sasa kuna unafuu, kinachotakiwa ni kuziimairsha hizzo shule zitoe elimu nzuri na sio kuzidharau kama inavyofanyika hapa.

Pole. Mie nina umri wa miaka 59 leo. Guess nimesoma lini?

Mie nimesoma shule za Kambarage bwana. Nimekula na kulala shule na nimepewa na warrant kwenda na kurudi toka shule.

Wanangu wanasoma st. siwezi kuwapeleka shule hizo wanaziita huko kwetu Yeboyebo. You know why? we kama unapeleka wa kwako kwenye shule hizo wapeleke tu. Utavuna ulichopanda. Na kama wa kwako huwapeleki kwenye shule hizo please close your mouth.

Shida yetu wadanganyika hatupendi kuambiwa ukweli kwa kuwa ukweli unatusumbua sana na kutuletea ugonjwa wa kutopewa sifa kuwa tumefanya vizuri. Ulevi wa sifa hewa ndio shida yenu.
 
nilisikiliza breaking news za wapo radio, nikasikia chiku abwao akilia kuwa mapolisi wamewapiga kwa mabom ya machozi, wamewatawanya uwanja wa mwembetogwa sasa wananchi wakakubali wakaenda kwenye mkutano wao wa kawaida wakati dr.slaa akiwa ameenda njombe, wao wakaenda kwenye mkutano kule mlandege sijui?...mapolisi wamewavurunda na chiku abwao akatokea akawaambia mapolisi wasiwaumize wananchi wamuue yeye kama wakitaka...ilikuwa fujo kimtindo fujo kali kabisa. bila shaka tutaona badaye kama watatoa news kwenye luninga..
 
Back
Top Bottom