SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,756
Tatizo lako mwiba ukishakula kiti moto na kupata safari mbili tatu unaongea saana mapaka unaboa
Watu mara nyingi hawapendi kuambiwa ukweli, especially Wabongo
WEWE Mwiba sijaelewa ni mwiba gani
Kaa ukielewa kuwa chama hakiwezi kujengwa kwa kuwapa wanachama uongozi(kama chama fulani ambacho wewe ni mfuasi), siku usipowapa uongozi wanaondoka na kuua chama. Hivyo royal members ni wale ambao wapo chamani si tu kwa kutaka/kwa kuwa ni viongozi. Mchakato wa kupata viti maalumu chadema ulifafanuliwa kwa uwazi kabisa na kila mwenye masikio alisikia na mwenye akili na uwezo wa kuwaza na kuwazua alielewa.
Hivyo mtu anayehama chama kwa kuwa hajapata uongozi ni bora ahame akapate uongozi huko anakotaka yeye. Au unataka kila mtu awe mbunge wa kuteuliwa. Mwiba achana na CCM wanakupoteza
Just in case kama mtoa mada na Nipashe hawajui maana ya Dictator.
A dictator is a ruler (e.g. absolutist or autocratic) who assumes sole and absolute power (sometimes but not always with military control) but without hereditary ascension such as an absolute monarch.[1] When other states call the head of state of a particular state a dictator, that state is called a dictatorship.
"Basi wakuu wa makuhani na baraza yote wakatafuta ushuhuda wa uongo juu ya Yesu, wapate kumwua; wasiuone ingawa walitokea mashahidi wa uongo wengi" Mathayo 26:59-60
with no doubt dr slaa has potential to take this country far very far, anaweza kama kuna mtu anabisha akajinyonge maanake atakuwa hataki ukweli na atasumbuka kila siku. Ni slaa aliyetaja wezi mapapa wa nchi hii hadharani hata takukuru hawawezi alichofanya mpaka leo hawajamgusa, ni slaa aliyelipua richmondi kamuulize lowasa prevoius pm, ni slaa aliyelipua bot kamuluize balali kuzimu anawasubiri wenzie, ni slaa aliyelipua epa kawaulize ccm ilivyokaa vibaya hii, ni slaa aliyesema kupunguza posho ya wabunge kamuulize sitta, ni slaa aliye sema anataka kubadili katiba ndani ya miezi sita kamuuliza pres. Jk, ni slaa aliyesema atafuta mikataba yote ya madini na kukubaliana upya akiwa rais kamuluize ngeleja na jk kama wanaweza hilo thubutu, ni slaa aliyesema elimu na afya bure watoto wale watano washinyanga wasingekufa, ni slaa aliyesema hataki kuona nyumba ya tembe kamuulize tibaijuka kama ipo kwenye paln yake hiyo,ni slaa for good for tanzania only him and chadema he is a man
unatukana halafu unasema acha matusi... ukitukanwa wewe mbio na filimbi
watu wengine bana kwenye shule tuliambiwa wanaitwa imbecile... yani huyo ni afadhali akili ya mende