Asha Abdala
JF-Expert Member
- Mar 21, 2007
- 1,130
- 45
Muda mfupi uliopita mbunge wa Karatu amechangia hotuba ya bajeti.
-Ameonyesha jinsi vitabu vya serikali vya matumizi na vile vya mapato vinavyotofautiana kwa zaidi ya bilioni 130 wakati vinapaswa kuwa na urari. Akosoa makosa mengi kwenye vitabu vya bajeti. Awakosoa watanzania kwa kusifia bajeti kwa kusikiliza hotuba ya waziri inayosema vitu vichache wakati vitabu vimejaa uozo. Atangaza kutokuunga mkono bajeti kwa kuwa wakipitisha inakuwa sheria. Asema hawezi kupitisha sheria mbovu kama mbunge. Ataka serikali iviondoe hivyo vitabu vichafu vya bajeti na kuleta vingine.
-Aonyesha jinsi bajeti inatavyopandisha gharama za maisha ya wananchi. Aonyesha kwa takwimu na maoneo ya kodi ambayo waziri aliyaficha katika hotuba yake lakini yamo kwenye vitabu vya mapato.
-Aibua suala la Meremeta na Tangold, ampelekea maswali waziri ya kina akitaka majibu kuhusu akaunti za makampuni hayo na ukaguzi wa mahesabu.
-Aeleza jinsi wazawa wanavyonyanyashwa na TRA na wageni kuachwa, apeleka ushahidi kwa mkulo
Asha
-Ameonyesha jinsi vitabu vya serikali vya matumizi na vile vya mapato vinavyotofautiana kwa zaidi ya bilioni 130 wakati vinapaswa kuwa na urari. Akosoa makosa mengi kwenye vitabu vya bajeti. Awakosoa watanzania kwa kusifia bajeti kwa kusikiliza hotuba ya waziri inayosema vitu vichache wakati vitabu vimejaa uozo. Atangaza kutokuunga mkono bajeti kwa kuwa wakipitisha inakuwa sheria. Asema hawezi kupitisha sheria mbovu kama mbunge. Ataka serikali iviondoe hivyo vitabu vichafu vya bajeti na kuleta vingine.
-Aonyesha jinsi bajeti inatavyopandisha gharama za maisha ya wananchi. Aonyesha kwa takwimu na maoneo ya kodi ambayo waziri aliyaficha katika hotuba yake lakini yamo kwenye vitabu vya mapato.
-Aibua suala la Meremeta na Tangold, ampelekea maswali waziri ya kina akitaka majibu kuhusu akaunti za makampuni hayo na ukaguzi wa mahesabu.
-Aeleza jinsi wazawa wanavyonyanyashwa na TRA na wageni kuachwa, apeleka ushahidi kwa mkulo
Asha