Elections 2010 Slaa Atafanya nini baada ya kuapishwa JK?

Kishongo

JF-Expert Member
May 4, 2010
932
64
Tutamkosa bungeni manake amegombea urais na kufanikiwa kuongeza idadi ya wabunge wa chama.

Swali ni je,atakuwa buisy akifanya nini?

1. Kutafuta mabomu na kuwapatia Waheshimiwa Lissu na Mnyika wayalipue bungeni?

2. Atamsaidia aliyetarajiwa kuwa first lady kuendeleza NGO yake?

3. Atarudi church?

4. Atasubiri mbunge aenguliwe na mahakama au afariki (Mungu aepushie mbali) ili agombee?

5. Atarudi kulima vitunguu Karatu?

Tafadhali tujadili ,,, bila matusi!!!.
 
Tutamkosa bungeni manake amegombea urais na kufanikiwa kuongeza idadi ya wabunge wa chama.

Swali ni je,atakuwa buisy akifanya nini?

1. Kutafuta mabomu na kuwapatia Waheshimiwa Lissu na Mnyika wayalipue bungeni?

2. Atamsaidia aliyetarajiwa kuwa first lady kuendeleza NGO yake?

3. Atarudi church?

4. Atasubiri mbunge aenguliwe na mahakama au afariki (Mungu aepushie mbali) ili agombee?

5. Atarudi kulima vitunguu Karatu?

Tafadhali tujadili ,,, bila matusi!!!.

I cant discuss stupidity...(utanisamehe.,lakini naona hii ni stupidity!)
 
Kwani hakuna shughuli zingine zaidi ya siasa? wewe unafanya nini? atajua mwenyewe atafanya nini, nje ya chama hiyo ni mipango yake
 
Tutamkosa bungeni manake amegombea urais na kufanikiwa kuongeza idadi ya wabunge wa chama.

Swali ni je,atakuwa buisy akifanya nini?

1. Kutafuta mabomu na kuwapatia Waheshimiwa Lissu na Mnyika wayalipue bungeni?

2. Atamsaidia aliyetarajiwa kuwa first lady kuendeleza NGO yake?

3. Atarudi church?

4. Atasubiri mbunge aenguliwe na mahakama au afariki (Mungu aepushie mbali) ili agombee?

5. Atarudi kulima vitunguu Karatu?

Tafadhali tujadili ,,, bila matusi!!!.
kweli kuna haja ya IQ test kabla ya kuwa member wa forum... wewe unatia huruma na kuchefua

loads of crap in your post
 
Tutamkosa bungeni manake amegombea urais na kufanikiwa kuongeza idadi ya wabunge wa chama.

Swali ni je,atakuwa buisy akifanya nini?

1. Kutafuta mabomu na kuwapatia Waheshimiwa Lissu na Mnyika wayalipue bungeni?

2. Atamsaidia aliyetarajiwa kuwa first lady kuendeleza NGO yake?

3. Atarudi church?

4. Atasubiri mbunge aenguliwe na mahakama au afariki (Mungu aepushie mbali) ili agombee?

5. Atarudi kulima vitunguu Karatu?

Tafadhali tujadili ,,, bila matusi!!!.

Hakuna cha kujadili hapa tutasherehekea, atakuwa anamuoa Kishongo!!!
 
Majimbo yenye wapiga kura wengi yameshachukuliwa na CHADEMA,maana yake ni kuwa wapiga kura wa chadema wamemchagua Dr.Slaa (Phd).
Mr,Dakta JeyKey inabidi akubali matokeo ya watanzania wengi.cha msingi aombe apewe uwaziri mkuu,na Dr.Slaa aongoze nchi
 
Tutamkosa bungeni manake amegombea urais na kufanikiwa kuongeza idadi ya wabunge wa chama.

Swali ni je,atakuwa buisy akifanya nini?

1. Kutafuta mabomu na kuwapatia Waheshimiwa Lissu na Mnyika wayalipue bungeni?

2. Atamsaidia aliyetarajiwa kuwa first lady kuendeleza NGO yake?

3. Atarudi church?

4. Atasubiri mbunge aenguliwe na mahakama au afariki (Mungu aepushie mbali) ili agombee?

5. Atarudi kulima vitunguu Karatu?

Tafadhali tujadili ,,, bila matusi!!!.

Stupid discussion
 
Tutamkosa bungeni manake amegombea urais na kufanikiwa kuongeza idadi ya wabunge wa chama.

Swali ni je,atakuwa buisy akifanya nini?

1. Kutafuta mabomu na kuwapatia Waheshimiwa Lissu na Mnyika wayalipue bungeni?

2. Atamsaidia aliyetarajiwa kuwa first lady kuendeleza NGO yake?

3. Atarudi church?

4. Atasubiri mbunge aenguliwe na mahakama au afariki (Mungu aepushie mbali) ili agombee?

5. Atarudi kulima vitunguu Karatu?

Tafadhali tujadili ,,, bila matusi!!!.
..........??????????????? Completely nonsense.....!!!!!!!!!!!!!
 
Wewe ndio hawa........

1-ugali-ng-isang-tamad.jpg
 
We kwa mtazamo wako ulitaka afanye nini ? Na mbona ni slaa mbona usiulize hao wengine akina lipumba? Wewe unadhani phd yake ni ya kupewa nini ? Mambo yako mengi ya kufanya hasa ukizingatia yeye ni raisi wa chama cha chadema atakuwa na mambo mengi sana ya kukiweka chama chake kikae sawa na ukijiandaa kwa 2015 . Au wewe kama unadhani hana cha kufanya mwajiri basi akusaidie hata ushauri kwa ofisi yako.
 
Tutamkosa bungeni manake amegombea urais na kufanikiwa kuongeza idadi ya wabunge wa chama.

Swali ni je,atakuwa buisy akifanya nini?

1. Kutafuta mabomu na kuwapatia Waheshimiwa Lissu na Mnyika wayalipue bungeni?

2. Atamsaidia aliyetarajiwa kuwa first lady kuendeleza NGO yake?

3. Atarudi church?

4. Atasubiri mbunge aenguliwe na mahakama au afariki (Mungu aepushie mbali) ili agombee?

5. Atarudi kulima vitunguu Karatu?

Tafadhali tujadili ,,, bila matusi!!!.

Hebu acha uchuro! Kwani matokeo umeshayajua? Waliokutuma kawaambie kuwa Dr. Slaa(pHD) ni katibu mkuu wa CHADEMA. nafasi ambayo hajaiacha bado.
 
tutamkosa bungeni manake amegombea urais na kufanikiwa kuongeza idadi ya wabunge wa chama.

Swali ni je,atakuwa buisy akifanya nini?

1. Kutafuta mabomu na kuwapatia waheshimiwa lissu na mnyika wayalipue bungeni?

2. Atamsaidia aliyetarajiwa kuwa first lady kuendeleza ngo yake?

3. Atarudi church?

4. Atasubiri mbunge aenguliwe na mahakama au afariki (mungu aepushie mbali) ili agombee?

5. Atarudi kulima vitunguu karatu?

Tafadhali tujadili ,,, bila matusi!!!.

dr slaa atakuwa busy kuratibu madiwani na wabunge wa ccm kama katibu mkuu wa chadema ili wananchi waliomua kufanya mabadiliko kwa kuiamini chadema na kuipatia kura wasije kujutia kura zao na wananchi wengi aidi waweze kushawishika kuipigia kura chadema. Lakini pia kuna kazi kubwa ya kuratibu zoezi la mabadiliko ya katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania, kudai tume huru ya uchaguzi n.k.

chadema ni tofauti na ccm isiyo wajali wapiga kura wake. Chadema inatoa kipaumbele kwa uwajibikaji kwa watu waliokichagua hivyo shughuli ya kutekeleza azma ya wapiga kura hao ni nyingi na zitamtosha dr slaa.
 
kwanini umecreate a lot of options, wakati results bado? anyway atafanya mapambano zaidi kama kawaida yake against cccccccm, mind that he is general secretary wa chama

ata ivo atawakochi vjana wake lisu na mnyika.....kwanini hukumtaja ZITO ata ivo au ndo keshanywea siku izi?
 
tutamkosa bungeni manake amegombea urais na kufanikiwa kuongeza idadi ya wabunge wa chama.

Swali ni je,atakuwa buisy akifanya nini?

1. Kutafuta mabomu na kuwapatia waheshimiwa lissu na mnyika wayalipue bungeni?

2. Atamsaidia aliyetarajiwa kuwa first lady kuendeleza ngo yake?

3. Atarudi church?

4. Atasubiri mbunge aenguliwe na mahakama au afariki (mungu aepushie mbali) ili agombee?

5. Atarudi kulima vitunguu karatu?

Tafadhali tujadili ,,, bila matusi!!!.

nenda kamuulize dr slaa atakujibu.
 
We unafikiri Dr Slaa ni poyoyo kama huyu mgombea wako?? We jiulize akishindwa uraisi ataenda wapi? Kulima viazi Msoga?
 
Maadamu Dr Slaa atakuwa na muda wa kutosha, angalia sana Dada yako na Mkeo wasije wakampenda mume wa watu.
 
Tutamkosa bungeni manake amegombea urais na kufanikiwa kuongeza idadi ya wabunge wa chama.

Swali ni je,atakuwa buisy akifanya nini?

1. Kutafuta mabomu na kuwapatia Waheshimiwa Lissu na Mnyika wayalipue bungeni?

2. Atamsaidia aliyetarajiwa kuwa first lady kuendeleza NGO yake?

3. Atarudi church?

4. Atasubiri mbunge aenguliwe na mahakama au afariki (Mungu aepushie mbali) ili agombee?

5. Atarudi kulima vitunguu Karatu?

Tafadhali tujadili ,,, bila matusi!!!.

vijiweni kuna vijimambo tehetehe
tusubili mambo yaishe
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom