Kama Lumumba walivyokuwa wanamuita fisadi leo wanamuweka high table, mafunzo ni kwa pande zote.Mimi niliacha kuwaamini siku nyingi tangu enzi zile Chadema wanamuita Lowasa fisadi halafu Lowasa akajiunga Chadema wakawa wanamuita rais wa mioyo yao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Lumumba walivyokuwa wanamuita fisadi leo wanamuweka high table, mafunzo ni kwa pande zote.Mimi niliacha kuwaamini siku nyingi tangu enzi zile Chadema wanamuita Lowasa fisadi halafu Lowasa akajiunga Chadema wakawa wanamuita rais wa mioyo yao.
Kwamba, usimwamini mwanasiasa yeyote kwa 100%, nasema hivyo kwa sababu huyu ninayemuona leo siyo Slaa niliyekesha humu JF kumtetea huku nikiambulia matusi ya nguoni kutoka Lumumba, wanaomjua Quinine wataelewa namaanisha nini. Na kuanzia leo mtazamo wangu kuhusu siasa na wanasiasa utabadilika sana sitakuwa Quinine wa enzi za Slaa.
View attachment 1188090
Uko sahihi! Jamaa katuonyesha vijana maisha yalivyo.Kwamba, usimwamini mwanasiasa yeyote kwa 100%, nasema hivyo kwa sababu huyu ninayemuona leo siyo Slaa niliyekesha humu JF kumtetea huku nikiambulia matusi ya nguoni kutoka Lumumba, wanaomjua Quinine wataelewa namaanisha nini. Na kuanzia leo mtazamo wangu kuhusu siasa na wanasiasa utabadilika sana sitakuwa Quinine wa enzi za Slaa.
Kwenye tasinia ya siasa Slaa ametufundisha mengi ila amekatisha ndoto za vijana wengi.
View attachment 1188090
Kipi kinachokupelekea kusema maneno hayo kuhusu dr silaa. Kwa anayemjua dr huwezi kumuhofia. Kama hukushtuka mbowe alivyomleta lowasa chadema basi piga kimya tu. Huyu mzee hakutaka kuwa mnafiki.Kwamba, usimwamini mwanasiasa yeyote kwa 100%, nasema hivyo kwa sababu huyu ninayemuona leo siyo Slaa niliyekesha humu JF kumtetea huku nikiambulia matusi ya nguoni kutoka Lumumba, wanaomjua Quinine wataelewa namaanisha nini. Na kuanzia leo mtazamo wangu kuhusu siasa na wanasiasa utabadilika sana sitakuwa Quinine wa enzi za Slaa.
Kwenye tasinia ya siasa Slaa ametufundisha mengi ila amekatisha ndoto za vijana wengi.
View attachment 1188090
Nimekuelewa..form Praise TeamTatizo kubwa la Watanzania hasa wale Wasomi na watumiaji wa Mitandao hii mbalimbali ya Kijamii tumekuwa wepesi katika Kulaumu, Kushambulia, Kudhihaki na hata Kutusi Watu ambao kwa wakati fulani walionyesha kuwa upande Wetu ila walipopata tu Uteuzi hasa kule ambako tunapachukia basi kwa haraka sana tunawaona hawafai na kuwabatiza kuwa ni Wasaliti na hawana maana tena.
Kwamba, usimwamini mwanasiasa yeyote kwa 100%, nasema hivyo kwa sababu huyu ninayemuona leo siyo Slaa niliyekesha humu JF kumtetea huku nikiambulia matusi ya nguoni kutoka Lumumba, wanaomjua Quinine wataelewa namaanisha nini. Na kuanzia leo mtazamo wangu kuhusu siasa na wanasiasa utabadilika sana sitakuwa Quinine wa enzi za Slaa.
Kwenye tasinia ya siasa Slaa ametufundisha mengi ila amekatisha ndoto za vijana wengi.
View attachment 1188090