Elections 2010 Slaa amtaka Shimbo kueleza zilikokwenda sh bil 155 za Meremeta

Kweli kabisa jeshi letu litafutiwe kazi huko Somalia limekuwa jeshi la kula bure kulala bure, leo linatafuta visingizio visivyo na maana ili lianze kukimbizana na wananchi wake mitaa ya kariakoo lionekane linafanya kazi.

Yule Gen aliyetamka yale is short sized and sighted. What do you expect from him? Anafikiri kushika bunduki ndio kitu kikubwa kuliko chochote duniani kwahiyo washika bundiki wawe wanaabudiwa. Sishangai kuona Afrika imejaa vurugu kila upande. Kama wanajeshi wenyewe ndio hao wanaowachokoza wananchi, nini chema tutarajie kutoka kwao
 
Mheshimiwa Rais wangu unayesubiri kuapishwa, Ukianza ugomvi na majeshi unajiongezea tabu.....

Nini jeshi hata sisi tulipitia jeshi. Shimbo sio jeshi kuna wanajeshi wenye uchungu na nchi hii. Shimbo ataondoka na bado tutakuwa na jeshi!
 
dr. Slaa akiingia Ikulu, mafisadi wote wataikimbia nchi maana patakuwa hapakaliki!!! POleni sana mafisadi
 
uchumi wa nchi hii ni kwa ajili ya watz wote siyo kwa ajili ya kundi dogo!:smow:
 
Mheshimiwa Rais wangu unayesubiri kuapishwa, Ukianza ugomvi na majeshi unajiongezea tabu.....
Sio kujiongezea tabu mkuu. Tukianza kuona kama kuna watu wako juu ya sheria basi hatuna nchi hapo. Ndo maana ukisoma ilani ya chadema kuhusu kuwa na muundo wa jeshi unaoendana na hali halisi ya taifa ikiwepo kutenganisha kabisa siasa na jeshi. Nchi hii tumepata matatizo makubwa sana ebu angalia wasomi wetu wanashindwa kufanya tafiti za maana na hata wakifanya tafiti zao ni za kisiasa kuliko hali halisi.(wanasiasa ndo wanaamua wewe msomi fanya utafiti huu na matokeo yake yawe hivi na vile and then unafanya. the same applied to jeshi.
 
Mheshimiwa Rais wangu unayesubiri kuapishwa, Ukianza ugomvi na majeshi unajiongezea tabu.....

Hii kasumba kwa miaka mingi ndo imefanya kuwe na ubadhirifu mwingi sana jeshini.

  • JWTZ sijui kama inafanyiwa Audit na kama inafanyiwa kwa nn wananchi japo hatupewi minimum information. Hapo kuna mwanya mkubwa wa Ufisadi. Sasa ukiweka na kasumba watu waliyonao inaonekana jeshi ni kama nchi nyingine huru.


  • Niliwai kusoma kwenye gazeti sehemu kuna tender JWTZ mtu alisupply kofia za aina fulani. Baada ya miezi mitatu mkubwa mmoja kushika usukani akaagiza kuwa zile kofia hazifai. yeye akatengenza tender yake ya kutengeza kofia nyingine. Kama kiongozi wa jasiri Amiri jeshi mkuu hutakiwi kuogopa kuanzisha ugomvi na mtu aliye chini.


  • Chukulia mfano mdogo tu wa magari ya kiraia ya jeshi tena ambayo yako dar. Life span yake ni miaka mingapi? Je jeshi halina mafundi? Kwa nini magari ya jeshi vinachakaa haraka.? kwa nini jeshi isiwe ndo taasisi yenye uwezo wa kutunza magari yake kwa muda mrefu.

Sijui ukienda mbali zaidi kwa sentesi yako unaweza kusema Akiaanzisha ugomvi na makampuni makubwa ya madini, Akianza Ugomvi na mafisadi wakuu nchi itatereka.

As long as kweli kuna kasoro ni muhimu zishughulikwe.
 
Sio ugomvi bali anamwaga upupu jeshini maana imani ya wale wa chini kwa wakubwa wao itachikichia. Imajini zifichuliwe taarifa za jinsi maduka ya kuuza vitu kwa bei ya chini yalivyohodhiwa na wakubwa na kuwalangua wale wa chini waht will happen?

Mbonakasha sema hili, au hukusikia?
 
Yule Gen aliyetamka yale is short sized and sighted. What do you expect from him? Anafikiri kushika bunduki ndio kitu kikubwa kuliko chochote duniani kwahiyo washika bundiki wawe wanaabudiwa. Sishangai kuona Afrika imejaa vurugu kila upande. Kama wanajeshi wenyewe ndio hao wanaowachokoza wananchi, nini chema tutarajie kutoka kwao

" .........Sio ajabu kwa kiongozi liyekaa madarakani miaka mitano akishindwa uchaguzi. Tunamwomba akishindwa akubali matokeo...........Iwapo wananchi watakataa matokeo itakuwa ni ishara ya wazi ya kutokukubaliana na utawala uliopo. Watanzania wanataka mabadiliko. Wamechoshwa na umaskini, wamechoshwa na rasilmali zao kuliwa na wachache. Watakachokifanya kulinda sovereignity yao ni kupiga kura. Sasa mtu yeyote atakayejaribu ku-temper na sovereignty ya Watanzania (nadhani anamaanisha Shimbo et al) ndiye huyo atakayesababisha vurugu. Kuwatisha watanzania kwa majeshi matokep yake ni bloodshake, tuache tuchague kwa amani............" MANENO YA ANANILEA NKYA LEO
 
Mnaosema Slaa analeta ugomvi na jeshi bado mna mawazo ya kizamani, enzi za jeshi kujichukulia nchi na kukubaliwa katika international community.

Waliokosea hapa na wa kulaumiwa ni walevi wa madaraka waliomtuma Shimbo kuwatisha wananchi wakati wakijua fika kuwa ni kumuingiza kwenye siasa against the law. Kwa kuwa yeye alikubali basi ni fair game tu provided Slaa ana deal na Shimbo kama Shimbo, Maana tukiacha hili lipite bila maelekezo ya kutosha basi ni dhahiri tuendako sasa hivi CCM wanabadili mbinu za kutawala nchi na kutumia Jeshi kama only royal to CCM and not other political party which is dangerous for growth of our Democracy.

Kama wao wamejipanga kulinda amani (Kama kweli amani inalindwa badala ya kudumishwa kwa misingi ya haki sheria na usawa) basi walikuwa hawana haja ya kutangaza. Hii ni mara ya kwanza kusikia jeshi likifanya kazi ya kipolisi. Kama wanawashwa kwa nini wasiende Somalia au Darful?, yaani Shimbo sasa anadhalilisha jeshi kwa masilahi binafsi?. Askari jeshi ni kina nani?, ni sisi wananchi ambao bado tupo kwenye umasikini, tukistaafu tunakuwa hatuna kitu wakati kuna cronies wanatumia usalama wa nchi kama mtaji binafsi wa siasa na rafiki zao.

Tumeona watu kama Kina Mboma, wanapostaafu wanataka kugombea ubunge kwa ticket ya CCM huu ni upuuzi, na inatakiwa sheria iwekwe wazi Dr. Slaa akishinda aweke masharti kuwa Top security and military official should wait for 10 years after retirement before being free to contest in any political post!. Hii italeta nidhamu kwa watu kama hawa wanaokaribia kustaafu na kupiga mahesabu ya kujikomba kwa watala ili wapewe post za kisiasa after their service in military by intimidating the public for the benefit of their masters!

SHIMBO IS A FAIR GAME KWA KUWA KAJIINGIZA KWENYE ULINGO WA NGUMI HIVYO KUPIGWA NGUMI NI HAKI YAKE.
 
" .........Sio ajabu kwa kiongozi liyekaa madarakani miaka mitano akishindwa uchaguzi. Tunamwomba akishindwa akubali matokeo...........Iwapo wananchi watakataa matokeo itakuwa ni ishara ya wazi ya kutokukubaliana na utawala uliopo. Watanzania wanataka mabadiliko. Wamechoshwa na umaskini, wamechoshwa na rasilmali zao kuliwa na wachache. Watakachokifanya kulinda sovereignity yao ni kupiga kura. Sasa mtu yeyote atakayejaribu ku-temper na sovereignty ya Watanzania (nadhani anamaanisha Shimbo et al) ndiye huyo atakayesababisha vurugu. Kuwatisha watanzania kwa majeshi matokep yake ni bloodshake, tuache tuchague kwa amani............" MANENO YA ANANILEA NKYA LEO

Inamaana mama yetu naye alikuwepo???..........Now I understand...connect the dots...

Who else was there?
 
:painkiller:IKULU IMECHAKACHULIWA, TPDF IMECHAKACHULIWA MPAKA IMEKOSA HADHI HATA YA KUIKARIBIA MGAMBO
:hand:JINILAHALI SHINGO KAULI YAKO INATUTAARIFU YALE YALIOMOYONI MWAKO YA KIJINIJINI YAANI KUMWAGA DAMU.
TPDF IMEZOEA KUMWAGA DAMU KWENYE INCHI ZA ,BALI SASA MNATAMANI KUMWAGA ZA WA TZ!!!BRAVO KWA UKATILI KWAKO MH JINILAHALI SHINGO MAANA WEWE KWELI NI JINI LA HALI NA SIO JENERALI. TUNAKUOMBEA KIFO IKIWEZEKANA KABLA YA UCHAGUZI. MUNGU AILAZE PABAYA JEHANAM ROHO NA MKOSI WAKO
 
IKULU YA J K KIWETE IMECHAKACHULIWA, JESHI LIMECHAKACHULIWA,BUNGE LIMECHAKACHULIWA.JINILAHALI SHIMBO NAYE ANASIKIA KIU YA DAMU ILI ANYWE...SHAME ON YOU SHIMBO. TUNAKUOMBEA KIFO CHA HARAKA,MUNGU AIWEKE ROHO YAKO PABAYA KULE JEHANAMU YA MOTO. KAZI YAKO NI KUSUJUDIA WAZEMBE WSIOJUA WAJIBU WAO ILA KUSEMA KABLA YA KUFIKIRI,SHAME ON YOU JK KIWETE, UNATAKA KUIFANYA IKULU ILIYOTENGENEZWA NA MTAKATIFU NYERERE KUWA YA MASHETANI @#!%* ZENU. MMEJAA UKIMWI NA MASHETANI MPAKA MNADONDOKA HOVYO MAJUKWAANI, JK KIWETE UMETUTIA AIBU PALE ULIPODONDOKA UGHAIBUNI MBELE YA WADHUNGU,HATUKUTAKI RAISI MSHIRIKINA MKUBWA WEE. NATAMANI NIKUNYONGE ILA UWEZO SINA. PINDI DR SLAA ATAPOSHIKA MADARAKA TUTAPENDEKEZA UNYONGWA MPAKA UFE KWA DHAMBI ULIZOLITENDEA TAIFA HILI TEULE LA TZ.

WALE WAJINGA WA REDET AKINA DR BANA NA YULE HAWARA WA PROF MUKANDARA YAANI DR KILIANI TUNAWASIHI MUANZE KUSOMA NYAKATI KAMA WANAVYOFANYA MA DONS WENZENU WA HAPOHAPO MLIMANI. NADHANI NINYI NI FORM SIX LEAVERS WITH PhD CERTIFICATES. UWEZO WENU WA KU ANALYSE MAMBO NI MDOGO SANA NA HAPO NDIPO UDSM INAPOANZA KUDHARAULIWA. FANYENI KAZI ZENU KAMA ACADEMICIANS NA SIO KAMA VIATU VYA WALE HOOLIGANS YAANI JK KIWETE NA WASAIDIZI WAKE WAVUTA BANGI WANAO SEMA KABLA YA KUFIKIRI MFANO NI YULE MZEE MCHOVU YUTUPU MAKAMBA.

BRAVO DR SLAA, BRAVO WAPENDA MAENDELEO WOTE. REDET NA SISIMBU WOTE TUNAWAOMBEA MAISHA MAFUPI ILI MTUACHIE NCHI YETU TUPATE KUIENDELEZA. REDET ANZISHENI CHAMA CHENU CHA SIASA NA WAZINZI MSIICHAFUE UDSM ILIYOANZISHWA NA BABA WA TAIFA MTAKATIFU NYERERE
 
SASA HUYU SLAA KAMA "najuwa haitatokea" Akiingia ikulu Basi kutakuwa na mambo ..!? Fukuzafukuza kazi

WASTED :llama: HAKUNA JIPYA
Hata wewe utafukuzwa. Hakuna mtu aliyeshilikiana na mafisadi atakayepona. Na kwa hili tumempa sisi ridhaa ya kufanya hivyo.
 
=Africana;1128658]IKULU YA J K KIWETE IMECHAKACHULIWA, JESHI LIMECHAKACHULIWA,BUNGE LIMECHAKACHULIWA.JINILAHALI SHIMBO NAYE ANASIKIA KIU YA DAMU ILI ANYWE...SHAME ON YOU SHIMBO. TUNAKUOMBEA KIFO CHA HARAKA,MUNGU AIWEKE ROHO YAKO PABAYA KULE JEHANAMU YA MOTO. KAZI YAKO NI KUSUJUDIA WAZEMBE WSIOJUA WAJIBU WAO ILA KUSEMA KABLA YA KUFIKIRI,SHAME ON YOU JK KIWETE, UNATAKA KUIFANYA IKULU ILIYOTENGENEZWA NA MTAKATIFU NYERERE KUWA YA MASHETANI @#!%* ZENU. MMEJAA UKIMWI NA MASHETANI MPAKA MNADONDOKA HOVYO MAJUKWAANI, JK KIWETE UMETUTIA AIBU PALE ULIPODONDOKA UGHAIBUNI MBELE YA WADHUNGU,HATUKUTAKI RAISI MSHIRIKINA MKUBWA WEE. NATAMANI NIKUNYONGE ILA UWEZO SINA. PINDI DR SLAA ATAPOSHIKA MADARAKA TUTAPENDEKEZA UNYONGWA MPAKA UFE KWA DHAMBI ULIZOLITENDEA TAIFA HILI TEULE LA TZ.

Chuki, Chuki, Chuki.......Haya hayana tofauti na zile messages alizokuwa akitumiwa Obama na wale KKK ambao sasa wanajiita Tea Party and Restoring Honour movement...

WALE WAJINGA WA REDET AKINA DR BANA NA YULE HAWARA WA PROF MUKANDARA YAANI DR KILIANI TUNAWASIHI MUANZE KUSOMA NYAKATI KAMA WANAVYOFANYA MA DONS WENZENU WA HAPOHAPO MLIMANI. NADHANI NINYI NI FORM SIX LEAVERS WITH PhD CERTIFICATES. UWEZO WENU WA KU ANALYSE MAMBO NI MDOGO SANA NA HAPO NDIPO UDSM INAPOANZA KUDHARAULIWA. FANYENI KAZI ZENU KAMA ACADEMICIANS NA SIO KAMA VIATU VYA WALE HOOLIGANS YAANI JK KIWETE NA WASAIDIZI WAKE WAVUTA BANGI WANAO SEMA KABLA YA KUFIKIRI MFANO NI YULE MZEE MCHOVU YUTUPU MAKAMBA.
Mi sichemi, just tafuta kioo ujiangalie.....

BRAVO DR SLAA, BRAVO WAPENDA MAENDELEO WOTE. REDET NA SISIMBU WOTE TUNAWAOMBEA MAISHA MAFUPI ILI MTUACHIE NCHI YETU TUPATE KUIENDELEZA. REDET ANZISHENI CHAMA CHENU CHA SIASA NA WAZINZI MSIICHAFUE UDSM ILIYOANZISHWA NA BABA WA TAIFA MTAKATIFU NYERERE
Bado namheshimu Mzee wangu lakini angalieni hizi kampeni zenu za kujinyoshea vidole......mtajipa chongo
 
Slaa makini kweli, within 4 days keshapata details zote za hao wawili, kikwete na Shimbo! Mungu umlinde Dr wetu.

Mkuu Hagonga,Dr Slaa alikuwa anazijua Tuhuma hizi,Lakini hapakuwa na nafasi ya kuzisema,Lt.Gen Shimbo alipokosea kutamka aliyoyasema kuhusu matokeo ya Uchaguzi ndio ikabidi Dr Slaa amrudie na kuweka wazi maovu yake....Dr Slaa anajua mengi kuhusu Watendaji hawa wa Serikali ya Kikwete kuliko unavyofikiri.

Hali iliyopo sasa sio katika Jeshi tu bali hata katika Taasisi nyingine za Serikali,Walioaminiwa kupewa dhamana wamekuwa wanatumia nafasi hizo kujinufaisha kuliko kuihudumia Jamii.Ndio Tatizo la kuwapa Wafanyabiashara dhamana ya kuongoza Jamii.Lt.General Shimbo kama ilivyo kwa Mkuu wa majeshi (CDF) Kwa Taaluma ni Makachero Jeshini,na bila uoga naweza kusema hali hii ya kuwa Wafanyabiashara zaidi walijifunza kutoka kwa CDF Mstaafu Mboma.Uzalendo wa kuitumikia Jamii umeondoka miongoni kwa Watendaji wengi wa Umma.

Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka mikoa ya Mbeya,Iringa,Morogoro na hata Dodoma kuwa Matrekta hayo madogo (Power Tillers) yapo kwenye viwango dahaifu,na mara nyingi yanashindwa kufanya kazi sawasawa kutokana na ugumu wa ardhi,kumekuwa na malalamiko kutoka Wilaya ya Mbalali ambako wameagiza matrekta hayo zaidi ya 850,ambayo huuzwa kwa wakulima kwa kiwango cha Tshs 4m mpaka 6m.
Imefika wakati sasa tuseme "NO" kwa Wafanya biashara waliojipenyeza kunyonya wananchi maskini kwa kofia ya Uongozi.
 
Everybody should follow the RULE OF LAW , na hapa hakuna upendeleo yaani no exceptions - even the army in fact more than other the army lazima iheshimu utaratibu na sheria. Huyu mnadhimu mkuu ameshindwa kufuata utaratibu na kutii sheria. Tutakapoweza kufikia hali hii ya kuheshimu taratibu na sheria basi wananchi wote tutakuwa tumeridhika hata kama hatutakuwa matajiri. Respect for the rule of law is the first step toward well being!
 
Mkuu Hagonga,Dr Slaa alikuwa anazijua Tuhuma hizi,Lakini hapakuwa na nafasi ya kuzisema,Lt.Gen Shimbo alipokosea kutamka aliyoyasema kuhusu matokeo ya Uchaguzi ndio ikabidi Dr Slaa amrudie na kuweka wazi maovu yake....Dr Slaa anajua mengi kuhusu Watendaji hawa wa Serikali ya Kikwete kuliko unavyofikiri.

Hali iliyopo sasa sio katika Jeshi tu bali hata katika Taasisi nyingine za Serikali,Walioaminiwa kupewa dhamana wamekuwa wanatumia nafasi hizo kujinufaisha kuliko kuihudumia Jamii.Ndio Tatizo la kuwapa Wafanyabiashara dhamana ya kuongoza Jamii.Lt.General Shimbo kama ilivyo kwa Mkuu wa majeshi (CDF) Kwa Taaluma ni Makachero Jeshini,na bila uoga naweza kusema hali hii ya kuwa Wafanyabiashara zaidi walijifunza kutoka kwa CDF Mstaafu Mboma.Uzalendo wa kuitumikia Jamii umeondoka miongoni kwa Watendaji wengi wa Umma.

Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka mikoa ya Mbeya,Iringa,Morogoro na hata Dodoma kuwa Matrekta hayo madogo (Power Tillers) yapo kwenye viwango dahaifu,na mara nyingi yanashindwa kufanya kazi sawasawa kutokana na ugumu wa ardhi,kumekuwa na malalamiko kutoka Wilaya ya Mbalali ambako wameagiza matrekta hayo zaidi ya 850,ambayo huuzwa kwa wakulima kwa kiwango cha Tshs 4m mpaka 6m.
Imefika wakati sasa tuseme "NO" kwa Wafanya biashara waliojipenyeza kunyonya wananchi maskini kwa kofia ya Uongozi.

Asante sana Mkuu!

Kama ni hivyo, ina maana viongozi wengi wa juu wanajua vizuri ubadhirifu huu wa mali za umma, ila tofauti ya Dr Slaa ni kuwa yeye ni jasiri wa kusema mambo hadharani ili umma iwafikie!

Tuendelee kumwombea ulinzi wa Mungu. Viongozi wa namna hii tunawahitaji sana wakati huu!
 
viongozi wengi na wachafu na nina hakia wengi sasa hivi watafunga vimdomo vayo kaka kinakamba kilivyoropoka kikafungwa hadi leo hakijajibu. Sasa nina hakika hata huyu shimbo anajilaumu huko alipo.
 
"tumeshitushwa, hatukubaliani na tunalaani tamko la jwtz na polisi, linaingilia uchaguzi mkuu na linalenga kuvuruga amani kwani tamko hilo limeficha na kusheheneza malengo ya maslahi binafsi, siyo maslahi ya nchi kama umma unavyoaminishwa, tamko hilo lina agenda ya siri na tunasikitika jwtz kufanya kazi za polisi," linasema tamko la wanaharakati wa femact lililotolewa leo.

mbona tbc wamesema kinyume chake au wameichakachu?
 
Back
Top Bottom