Dr. Slaa alitwambia kuwa hakuwahi kuuwaza urais na ndiyo maana kabla akajichukulia fomu ya ubunge Karatu lakini waliomjua wakamshawishi agombee uraisi, Tanzania kwa mara nyingine ikapoteza nafasi ya kurekebisha makosa ya miaka 50 ya kujiamulia mambo yake kama nchi huru.
Tulipoteza bahati na mtu aliyekuwa na nia ya kweli angalau hata kutuelezea ukweli wa tunalopaswa kufanya kuondokana na umaskini na dharau hizi!
Haya ...na sasa bw. Shimbo kwa vile yuko hai bado ajibu hizi tuhuma!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.