Nilimsikiliza Hutu kada wa CCM Jana na wakato anahojiwa alisema haya yote yanayotokea sasa kwake ni kwasababu alikosa nafasi ya yeye kupeperusha Bendera ya UKAWA. Na Mkuu " Unajua Mimi ni binadamu nina moyo was nyama inaniuma sana" Inamaana Lowassa angekua ADC au ACT asingeongea yote haya. Huyu jamaa ni wakuogopa kama Ukoma.