Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,898
Sky News wako busy kutuelezea issue ya ajali ya Kivuko TBC wako busy na mambo ya waganga wa jadi!
Pointnayo watamsingizia Tido Mhando kuwa ndo aliacha ratiba na Utaratibu mbovu
Huku tv yoyote ikisema walijaza sana, basi sheria ya takwimu hii hapa ishawabana!CNN wameonyesha na wanalamika kuhusu kujaa kupindukia kwa meli!
Nazan wata walaum chadema kua wanatafuta kikiSky News wako busy kutuelezea issue ya ajali ya Kivuko TBC wako busy na mambo ya waganga wa jadi!
View attachment 873052
View attachment 873053
View attachment 873054
Mwezi ujao.Sisi tuache tujifie tu, wakimaliza hapo wanaweka ziara za mkuu, na jioni mkuu wa mkoa anasema giza limeingia tukalale tuonane saa kesho saa mbili kuendelea na uokoaji!
nayo watamsingizia Tido Mhando kuwa ndo aliacha ratiba na Utaratibu mbovu