Mimi mstaarabu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 258
- 566
Skills au ujuzi upi ni muhimu kuwa nao kijana wa kitanzania mwenye umri kuanzia 18 na kuendelea labda mwisho35 (awe ana soma au yupo mtaani.)vyovyote vile ilimradi kijana.
Nia na madhumuni ya uzi huu ni kwamba kujulishana skills mbali mbali za kusomea au kujifunza ili kuendelea kupigania maisha yetu ya kila siku.
kama mnavojua kipindi cha miaka ya nyuma maisha yalikuaje na kipindi cha miaka hii ya sasa maisha halivobadilika yani bila ujuzi au kipaji chochote hauwezi kutoboa na kama umesoma basi ajira kama huna connection pia ni changamoto.
skills chache ninazozijua ni hizi ila naomba muongezee na nyingine: kwa vijana wote wakike na wakiume
1. kujua kupika..utafungua restaurant
2: kujua kusuka au kunyoa...utafungua saloon
3: kujua kushona...utashona nguo hata za maharusi
4: kujua makeup...utapamba watu na hata maharusi
5: kujua kuendesha gari...utakua dereva hata wa UBER
Na mengine nitajieni
Nia na madhumuni ya uzi huu ni kwamba kujulishana skills mbali mbali za kusomea au kujifunza ili kuendelea kupigania maisha yetu ya kila siku.
kama mnavojua kipindi cha miaka ya nyuma maisha yalikuaje na kipindi cha miaka hii ya sasa maisha halivobadilika yani bila ujuzi au kipaji chochote hauwezi kutoboa na kama umesoma basi ajira kama huna connection pia ni changamoto.
skills chache ninazozijua ni hizi ila naomba muongezee na nyingine: kwa vijana wote wakike na wakiume
1. kujua kupika..utafungua restaurant
2: kujua kusuka au kunyoa...utafungua saloon
3: kujua kushona...utashona nguo hata za maharusi
4: kujua makeup...utapamba watu na hata maharusi
5: kujua kuendesha gari...utakua dereva hata wa UBER
Na mengine nitajieni