Lee Napoleon
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 896
- 566
Sitaki kusema mengi ila kama ni mwanaume Mimi tu ndo zinanipa tabu basi sinabudi kuvumilia.
Kiukweli nikikutana na mdada amevaa hizi awe mwembamba au mnene napata shida Sana hasa ukute shape kajaaliwa. Hata kama kuna jambo nafanya muhimu napoteza concentration kabisa naeza haribu
Kazi tafadhalini na samahani kama nawaudhi kwa kusema haya.
Najua ni fashion ila nasema kwa uchungu siwezi kujizuia mpasuko wa moyo naoupata
Naeza zuia hata pumzi kama dakika 1 hivi
Afadhari nikiona kavaa suruali hizi nguo za kushika enzi zinaanza kuingia zilinifanya nihangaike sana hata nione kwenye music video shida nayopata sio Kawaida.
Ni hayo tu dada zangu
Kiukweli nikikutana na mdada amevaa hizi awe mwembamba au mnene napata shida Sana hasa ukute shape kajaaliwa. Hata kama kuna jambo nafanya muhimu napoteza concentration kabisa naeza haribu
Kazi tafadhalini na samahani kama nawaudhi kwa kusema haya.
Najua ni fashion ila nasema kwa uchungu siwezi kujizuia mpasuko wa moyo naoupata
Naeza zuia hata pumzi kama dakika 1 hivi
Afadhari nikiona kavaa suruali hizi nguo za kushika enzi zinaanza kuingia zilinifanya nihangaike sana hata nione kwenye music video shida nayopata sio Kawaida.
Ni hayo tu dada zangu