0ozg Tz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 4,159
- 11,098
Huwa nikiwatazama hawa jamaa,nikafikiria jinsi mwili ulivyo na unavyofanya kaz naanza kuhis kama anaweza vunjika magoti kwa uzito huo,nawaza pia maisha yao ya baadae mwili wake hauwez kupata matatizo,huwa najkuta mwili wangu unaanza kuuma kwa kutafakar hayo