rahimumlowe
Member
- Aug 31, 2018
- 5
- 1
He inatakiwa na wastan wa mtaji wa sh ngpi naomba ushauli wako rahim mlowe npo ifunda iringa 0656607185
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeamua kutania watu? Kutoka Ifunda hadi njia panda ya Mgama kuna umbali gani? Nenda mpaka ukumbi, pomelini na kwingineko. JF utashauliwa lakini huko utapata uzoefu.He inatakiwa na wastan wa mtaji wa sh ngpi naomba ushauli wako rahim mlowe npo ifunda iringa 0656607185
Sent using Jamii Forums mobile app