Kumbe Nazjaz mtoto hivyo... Hiyo xtory nilisoma kwenye kitabu cha darasa III cha Kiswahili... Enzi hizo mwalimu wangu wa Kiswahili alikuwa Mwl. Kamkumba...., Hisabati Mkura, English Makava, Maarifa ya Jamii ticha Mamboleo, Stadi za Kazi Mwl. Nyakanyenge, Sayansi anasimamia Mchia.... Ilikuwa raha sana pale Msasani S. M.
karudi baba mmoja, toka safari ya mbali,
kavimba yote mapaja, nakutetemeka mwili,
watoto wake wakaja, ili kumtaka hali,
wakataka na kauli, iwafae maishani,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.