shalet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 3,428
- 3,510
habarin wadau,
polen wale waliozan wameugua dengue.
here we go....
nakumbuka sekondar kipindi cha break tulikuwa tunapiga sana stor za madem. stor zilizokuwa zinanivutia mara huyu qkisema almbikr fulan nikajisemea moyon n mimi mpka nipate dem bikra ilkuwa fom 3 na nilikuwa ni medo na 2 gals basi idadi ikatripo gafla mpka namaliza fom 4 lakin sikupata kitu. nakumbuka friday moja mwezi 12 nikiwa nasubiri matokeo maza alinfuma na kibinti cha shule geto hiyo haikuzuia kitu safar ikaendelea lakin kwa umakin sana.
mpaka namaliza fom 6 idadi ikawa 12 lakini bila mafanikio kibaya zaid hapa nikakutana na bint wa fom 3 kipind hicho akiniambukiza na KASWENDE lakin nashukuru mungu nilpona siku ya 10 toka niambukizwe kama 4 dys after medication.
from there spid ikapungua sana kwan nikaamin nimekuwa affcted kutoka na maneno ya doctor na alivyosisitiza nilud bada ya miez 3 kucheki hiv.
bas mwaka jana nilipata ugonjwa w figo nilipoenda kutibiwa nikatakiwa kupima HIV pamoja na vipimo vingine nashukuru nilkutwa negative toka siku hiyo nikavunja safar yngu ya kusaka bikra kwan muda wote nilijua mi (+ve) nikaongeza madem 2 idad ikawa 14 it was 2011 lakin nikajiuliza umr huu hata nikipata mwanamke bikra nitajisifia kwa nan? ili iwaje bas kiroho saf nimeamua kumaliza safar yangu kwa kushindwa.
Wa 15 atakuwa mke wangu.
Jion njema!!!!
polen wale waliozan wameugua dengue.
here we go....
nakumbuka sekondar kipindi cha break tulikuwa tunapiga sana stor za madem. stor zilizokuwa zinanivutia mara huyu qkisema almbikr fulan nikajisemea moyon n mimi mpka nipate dem bikra ilkuwa fom 3 na nilikuwa ni medo na 2 gals basi idadi ikatripo gafla mpka namaliza fom 4 lakin sikupata kitu. nakumbuka friday moja mwezi 12 nikiwa nasubiri matokeo maza alinfuma na kibinti cha shule geto hiyo haikuzuia kitu safar ikaendelea lakin kwa umakin sana.
mpaka namaliza fom 6 idadi ikawa 12 lakini bila mafanikio kibaya zaid hapa nikakutana na bint wa fom 3 kipind hicho akiniambukiza na KASWENDE lakin nashukuru mungu nilpona siku ya 10 toka niambukizwe kama 4 dys after medication.
from there spid ikapungua sana kwan nikaamin nimekuwa affcted kutoka na maneno ya doctor na alivyosisitiza nilud bada ya miez 3 kucheki hiv.
bas mwaka jana nilipata ugonjwa w figo nilipoenda kutibiwa nikatakiwa kupima HIV pamoja na vipimo vingine nashukuru nilkutwa negative toka siku hiyo nikavunja safar yngu ya kusaka bikra kwan muda wote nilijua mi (+ve) nikaongeza madem 2 idad ikawa 14 it was 2011 lakin nikajiuliza umr huu hata nikipata mwanamke bikra nitajisifia kwa nan? ili iwaje bas kiroho saf nimeamua kumaliza safar yangu kwa kushindwa.
Wa 15 atakuwa mke wangu.
Jion njema!!!!