ni siku kadha waasi wamekuwa wakinyemelea nchi ya ghadafi huko libya kwa nia ya kumpora mafuta ambayo ndio chanzo kikubwa cha mapigano hivi ni kweli ndungu zangu, kisheria ni kweli kwamba mtu ananyanyasika kwa mali ya nchi yake. je ungekuwa ni wewe unaingiliwa katika sehemu yako ugefanya kama ghadafi au........................................................................................