SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,756
Lengo la kumsifia mkeo ikuwa kuwapa ujumbe wanameru kuwa yeye siyo kapera kama Nassari.
Bora kuwa kapera kuliko kuinamishwa.
Lengo la kumsifia mkeo ikuwa kuwapa ujumbe wanameru kuwa yeye siyo kapera kama Nassari.
Huyu Dogo nadhani hanjui mwigulu! mwache amsifie mkewe aone nchemba kama hajampiga mbu....pu!
Vituko na vimbweka vimeendelea kutokea kweny kampeni za pale, Mgombea wa CCM alipopanda jukwaan na kushukuru mkuu wa mkoa wa Arumeru ili hali hakuna mkoa huo tangu kipindi cha wakolon, Vimbweka viliendelea baada ya Bwn SIO kuanza kumsifia mkewe, huku wamama wakisikika wakifyonya nakusema hata wao wana watoto wazuri nakusema hawajaja kumuangalia mkewe bali kusikiliza sera.Awali Mh BWM alipanda jukwaan nakumwaga sera zilizo kuwa na ushawishi mkubwa lakin punde baada ya mwana wa marehemu kupanda jukwaan umati mkubwa wa watu ulianza kuondoka.
Baada tu ya kampen kuisha na mheshimiwa BWM kuondoka wananchi wa Jimbo la Arumeru waishio Usa River walianza kuwazomea wageni wao waliokuwa wameletwa kwa ma land cruiser,mabasi, hadi naondoka eneo la tukio mama mmoja almanusura apigwe vibaya na wafuasi wa CHADEMA baaday ya kuingiza kidole kimoja katikati ya vidole viwili vinavyoashiria nembo ya CHADEMA kama ishara ya kutukana.
Nikiripoti kutoka hapa USA RIVER ni mim Sungura tope
Sioi hakujiandaa kuingia ktk siasa zetu za kibongo! Hii kiti ya ubunge CCM itapigwa mweleka!Vituko na vimbweka vimeendelea kutokea kweny kampeni za pale, Mgombea wa CCM alipopanda jukwaan na kushukuru mkuu wa mkoa wa Arumeru ili hali hakuna mkoa huo tangu kipindi cha wakolon, Vimbweka viliendelea baada ya Bwn SIO kuanza kumsifia mkewe, huku wamama wakisikika wakifyonya nakusema hata wao wana watoto wazuri nakusema hawajaja kumuangalia mkewe bali kusikiliza sera.Awali Mh BWM alipanda jukwaan nakumwaga sera zilizo kuwa na ushawishi mkubwa lakin punde baada ya mwana wa marehemu kupanda jukwaan umati mkubwa wa watu ulianza kuondoka.
Baada tu ya kampen kuisha na mheshimiwa BWM kuondoka wananchi wa Jimbo la Arumeru waishio Usa River walianza kuwazomea wageni wao waliokuwa wameletwa kwa ma land cruiser,mabasi, hadi naondoka eneo la tukio mama mmoja almanusura apigwe vibaya na wafuasi wa CHADEMA baaday ya kuingiza kidole kimoja katikati ya vidole viwili vinavyoashiria nembo ya CHADEMA kama ishara ya kutukana.
Nikiripoti kutoka hapa USA RIVER ni mim Sungura tope
Hivi Mwigulu na Malima nao ni makapera?Lengo la kumsifia mkeo ikuwa kuwapa ujumbe wanameru kuwa yeye siyo kapera kama Nassari.
nimeshuhudia live matukio hayo yote,ni kweli alisema mkoa wa Arumeru lakini labda ulimi uliuliteleza kuhusu mke wake PAMELA EDUWARD Lowassa alijaribu kumnadi mumewe na hiyo inafanyika katika kampeni za vyama vyote tupunguze chuki binafsi sunguratope!