Mkyashinho
Senior Member
- Jan 16, 2017
- 148
- 111
Ikiwa nyote mnalipa nauli sawa sawa unategemea upishwe ukae? Sasa kama watoto wa siku hizi wapo legelege basi wawaachie hao watu wazima walio strong kusimama tu. Yaani nimekuona kwenye mwendokasi nimelipa sawa na wewe sababu upo 50s na nipo 20s nikupishe?? Utasimama tu mzee mla ugari na makande.
Ndukiiiii ♂️♂️♂️
Kua uyaone...unalomtendea mwenzako nawe utatendewa the same