Habari!
Kuna watu wanadhani watoto Wa siku hizi wana viburi la hasha!
Ukweli ni kwamba hiki ni kizazi dhaifu kinachochangiwa na mambo mengi sana ya tabia ya nchi!.
Wapo watu wanaodhani Ulegevu unachangiwa na kuwadekeza;! Hapana!
Ukweli ni kwamba hawa watoto hawako strong by nature!
Kwanza kizazi chenyewe kimekuwa taabu sana wanawake kushika mimba tofauti na zamani, pili sindano na vyakula wanavyotumia!****
Wenzetu huko ulaya watoto wao wako very strong!
Pamoja na baridi lote ulaya, lakini ni kawaida sana kumuona mtoto wa miezi miwili akipelekwa beach kifua wazi, huku bongo mtoto ana mwaka utashangaa anafunikwa gubigubi na ma-babyshoe mazito, pumpus kibao, kofia na mask hadi wanashindwa kupumua!!!
Watoto wetu hawa; hawana viburi Bali ni dhaifu tuwahurumie tu!
CC #ummy mwalim
Kuna watu wanadhani watoto Wa siku hizi wana viburi la hasha!
Ukweli ni kwamba hiki ni kizazi dhaifu kinachochangiwa na mambo mengi sana ya tabia ya nchi!.
Wapo watu wanaodhani Ulegevu unachangiwa na kuwadekeza;! Hapana!
Ukweli ni kwamba hawa watoto hawako strong by nature!
Kwanza kizazi chenyewe kimekuwa taabu sana wanawake kushika mimba tofauti na zamani, pili sindano na vyakula wanavyotumia!****
Wenzetu huko ulaya watoto wao wako very strong!
Pamoja na baridi lote ulaya, lakini ni kawaida sana kumuona mtoto wa miezi miwili akipelekwa beach kifua wazi, huku bongo mtoto ana mwaka utashangaa anafunikwa gubigubi na ma-babyshoe mazito, pumpus kibao, kofia na mask hadi wanashindwa kupumua!!!
Watoto wetu hawa; hawana viburi Bali ni dhaifu tuwahurumie tu!
CC #ummy mwalim