Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Leo nataka niwaunge mkono wanawake katika harakati zao za kujikomboa na mfumo dume. Hivi kwa nini wanaume tunapenda kuwa juu kwa kila jambo?? Ni juu juu juu tu kila jambo. Mmhhh, siyo fair jamani inafika mahali wanachoka. Ebu tuwape nafasi na wenzetu.