Siyo siasa lakini kuna ukweli wowote hapa?

mchonga

JF-Expert Member
Dec 3, 2006
1,233
247
Ni kweli diamond amekutana na BritneySpear? Jamani magazeti ya bongo kwa chunvi.
Angalia tofauti kati ya picha. kwa nini wasiseme ukweli kwamba alipiga picha na sanamu wala siyo Britney? Ngalia mwenyewe hapa chini.


Msanii%2BDiamond%2Bakila%2Bpozi%2Bna%2Bkupewa%2Bchangamoto%2Bkutoka%2Bkwa%2BQueen%2Bwa%2BPop%2Bambaye%2Balikuwa%2B%2Bmshindi%2Bwa%2BMTV%2BAward%2BMiaka%2Bya%2BNyuma%2BBritney%2BSpears%2Bmjini%2BLondon%2Bbaada%2Bya%2BUrban%2BTour..jpg

Msanii Diamond akila pozi na kupewa changamoto kutoka kwa Queen wa Pop ambaye alikuwa mshindi wa MTV Award Miaka ya Nyuma Britney Spears mjini London baada ya Urban TourWaheshimiwa Wadau Salaam,Kwa heshima na taadhima URBAN PULSE CREATIVE Inawaomba na kuwasihi watanzania wote pale walipo kuwa wazalendo na kumpigia kura

Britney-Spears-at-Madam-Tussaud-in-London.jpg

Sanamu lililopo Madame Tussauds-London
 
Watu tunafkiria katiba mpya we unatuonesha britney na diamond 1stly tutake radhi coz hii forum ni specific for politics sio ..........!Wako!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom