Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,538
- 46,061
Atachaguliwa spika wa bunge na huyo ndiye atashika Urais kwa muda. Jeshi halitakiwi kushika madaraka ya kiraia na mahakama sio chombo cha utawala.
Hiyo Chain of command nzima ikikatika sijui nani hapo wa kushika nchi! Ni Jaji Mkuu au Jeshi?