Siyo sahihi viongozi wote wakuu wa nchi kuwa mahali pamoja kwa wakati mmoja, ni hatari kwa Taifa

Jipe tafakari kidogo na siasa uweke pembeni. Mtoa mada yupo sahihi sana. Nivile tu tunaishi kwa mazoea kwamba nchi yetu haina matukio ya ajabu ajabu
Kama haina matukio ya ajabu why Magu alileta tabia ya misafara ya mabunduki?
Ona hata hapo uwanjani yapo!
 
Naunga mkono hoja. Kuna hatari sana. Kitakuja "kuita" kitu siku moja yakabakia majivu tu......

Najua wazi kwa sasa "maadaui" wamepungua. Lakini ni muhimu kuwa na controls imara. Na hili la viongozi wa kitaifa na wakuu wa vyombo vya usalama kutokuwapo wote sehemu moja kwa muda mrefu ni control muhimu.

Tuombee haya yasitokee hata Mara moja...tumezoa na kuoenda amani....lakini zaidi tuwaombee busara na hikma viongozi, walinzi na wote wanaopanga protokali.

Na wale wanaopanga mabaya kama wapo basi nao "washindwe"!
 
Viongozi wa Taifa hawa mambumbumbu wanaochukua madaraka kwa njia za panya?Wakifa wote kwa mkupuo ni jambo la kheri sana.
 
Dharura watanzania milioni 55 watakufa wote kwa pamoja? kuna mtu alijiona yeye ndiyo Tanzania kafa lakini taifa bado lipo palepale
Kwani kila comment lazima umtaje Magufuli
Mbona akili zero wewe!
 
Je ikitokea maafa ya kiasili: tetemeko, upepo, sink holes (ardhi kutitia ghafla) n.k.? Hapo ulinzi wa kibinadamu unakuwa hausaidii lakini maafa yametokea. Mtoa mada ana point.
si mpaka litokee. eneo husika halina historia ya majanga ya kiasili.
 
Nimekua nafuatilia matukio mbalimbali siku hizi, mara nyingi unakuta viongozi wote wakuu wa nchi wakiwa pamoja wamelundikana pamoja kwenye tukio moja
Hii kitu haina afya kwa usalama wa nchi kwa sababu ikitokea dharura, nchi inaweza kuparalyse kwa sababu Chain of command nzima inaweza kudhuriwa.
Kwa mfano leo kwenye sherehe ya Mei Mosi, pale CCM Kirumba yupo Raisi, Makamu wa Raisi, Waziri Mkuu na Spika wa Bunge. Sasa hapo ikitokea dharura nchi si itakuwa katika mashaka makubwa?

Zamani ninakumbuka, Mahali fulani akiwepo rais sehemu basi Makamu wake hayupo, au Makamu akiwepo basi Spika hayupo (Maana Spika nalikuwa kwenye Chain of Command)

Hawa watu wa Usalama wanaopanga hizi Protokali wajitafakari upya, wasije wakaitia nchi katika sintofahamu kwa kulinda viongozi wote sehemu moja
Umeanza kuliona hili leo? Ulikuwa wapi miaka mitano nyuma?

Huu ni muendelezo wa yale yalioasisiwa miaka 5 nyuma.

Kazi iendelee.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Nchi yoyote haikosagi maadui wa ndani na Nje
Wale jamaa wa Kibiti waliisha wote?
Wasije wakapiga tukio halafu nchi ikabaki kwenye Ombwe la Uongozi tukajikuta tunaingia kwenye utawala wa Kijeshi bila kutarajia!

Lazima mtu mmoja aliye kwenye chain of Command asihudhurie matukio haya ili kuondoa sintofahamu kwenye nchi kama ikitokea dharura!
 
Nimekua nafuatilia matukio mbalimbali siku hizi, mara nyingi unakuta viongozi wote wakuu wa nchi wakiwa pamoja wamelundikana pamoja kwenye tukio moja
Hii kitu haina afya kwa usalama wa nchi kwa sababu ikitokea dharura, nchi inaweza kuparalyse kwa sababu Chain of command nzima inaweza kudhuriwa.
Kwa mfano leo kwenye sherehe ya Mei Mosi, pale CCM Kirumba yupo Raisi, Makamu wa Raisi, Waziri Mkuu na Spika wa Bunge. Sasa hapo ikitokea dharura nchi si itakuwa katika mashaka makubwa?

Zamani ninakumbuka, Mahali fulani akiwepo rais sehemu basi Makamu wake hayupo, au Makamu akiwepo basi Spika hayupo (Maana Spika nalikuwa kwenye Chain of Command)

Hawa watu wa Usalama wanaopanga hizi Protokali wajitafakari upya, wasije wakaitia nchi katika sintofahamu kwa kulinda viongozi wote sehemu moja
Cdf na DG wa tiss nao wapo hapo!?
 
Naunga mkono hoja. Kuna hatari sana. Kitakuja "kuita" kitu siku moja yakabakia majivu tu......

Najua wazi kwa sasa "maadaui" wamepungua. Lakini ni muhimu kuwa na controls imara. Na hili la viongozi wa kitaifa na wakuu wa vyombo vya usalama kutokuwapo wote sehemu moja kwa muda mrefu ni control muhimu.

Tuombee haya yasitokee hata Mara moja...tumezoa na kuoenda amani....lakini zaidi tuwaombee busara na hikma viongozi, walinzi na wote wanaopanga protokali.

Na wale wanaopanga mabaya kama wapo basi nao "washindwe"!

Ni control muhimu kwa viongozi kutokuwapo wote sehemu moja kama assumption ni kuwa maadui watatoka nje ya nchi; lakini kama cospitarators ni wa ndani na wanamuunga mkono mmoja wa viongozi kwenye power struggle basi kuwaweka pamoja kunaweza kupunguza uwezekano wa kuzuliana!!
 
Back
Top Bottom