Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Umaarufu unaopatikana kwa kuwadhalilisha binadamu wenzako siku zote hauwezi ukadumu...Matusi yanayoporomoshwa dhidi ya awamu zilizopita za utawala yanaweza yakaonekana Kama mkakati lakini kwa wasomi wanaona huu siyo mkakati bali Ni njia flani ya kuliangamiza taifa.
Watu wanajitokeza kujidai wanapigania haki wakieleza kuwa watawala waliotangulia walikuwa mafisadi lakini ukiwaangalia wote wanaojitokeza leo ni zao la tawala zilizopita.
Huwezi kuwatukana viongozi wa chama waliopita halafu ukataka kutuaminisha kwamba wenyeviti wa vyama walikuwa wasasfi, ukweli ni kwamba uchafu walionao wenyeviti ni mkubwa kuliko watendaji WENGINE wote.
Ni unafki leo kutuambia mzee Mkapa ni msafi na Makamba mchafu, kutuaminisha kinana Ni mchafu JK msafi...Kama leo Hawa mnakiri ni wachafu nadhani ni sahihi kabisa kukiri kwamba hata uongozi wa Sasa umeoza.
Tusijifunike kwenye mwamvuli wa uanaharakati kupakana matope maana siku zijazo zitakuwa mbaya kuliko siku ya leo. Tuliacha kukemea walipochafuliwa wapinzani tukiamini kwamba sisi tupo salama lakini Leo naamini Kati ya watu waliodhalilika na wanaiona pensheni chungu ni wazee waliokuwa wanasifiwa kila Leo na Sasa wanaonekana Kama vikatuni bila hata mwenyekiti kuwatetea.
Kisasi mlichokitengeneza na maandalizi ya watoto wenu mliyoyanfanya miaka yote Sasa yanafunikwa na chama kile kile mlichokiamini....mlitutesa kwa kuiba kura na kutupiga mabomu ila Leo tunawatesa angali mpo uzeeni na mlichobakiza nikujikomba kwa mwenyekiti ambaye mnaamini fika kwamba Hana imani na ninyi
Dhuluma mliyofanya Sasa inawaandama na nyoka mliyemfuga anawatafuna.
Watu wanajitokeza kujidai wanapigania haki wakieleza kuwa watawala waliotangulia walikuwa mafisadi lakini ukiwaangalia wote wanaojitokeza leo ni zao la tawala zilizopita.
Huwezi kuwatukana viongozi wa chama waliopita halafu ukataka kutuaminisha kwamba wenyeviti wa vyama walikuwa wasasfi, ukweli ni kwamba uchafu walionao wenyeviti ni mkubwa kuliko watendaji WENGINE wote.
Ni unafki leo kutuambia mzee Mkapa ni msafi na Makamba mchafu, kutuaminisha kinana Ni mchafu JK msafi...Kama leo Hawa mnakiri ni wachafu nadhani ni sahihi kabisa kukiri kwamba hata uongozi wa Sasa umeoza.
Tusijifunike kwenye mwamvuli wa uanaharakati kupakana matope maana siku zijazo zitakuwa mbaya kuliko siku ya leo. Tuliacha kukemea walipochafuliwa wapinzani tukiamini kwamba sisi tupo salama lakini Leo naamini Kati ya watu waliodhalilika na wanaiona pensheni chungu ni wazee waliokuwa wanasifiwa kila Leo na Sasa wanaonekana Kama vikatuni bila hata mwenyekiti kuwatetea.
Kisasi mlichokitengeneza na maandalizi ya watoto wenu mliyoyanfanya miaka yote Sasa yanafunikwa na chama kile kile mlichokiamini....mlitutesa kwa kuiba kura na kutupiga mabomu ila Leo tunawatesa angali mpo uzeeni na mlichobakiza nikujikomba kwa mwenyekiti ambaye mnaamini fika kwamba Hana imani na ninyi
Dhuluma mliyofanya Sasa inawaandama na nyoka mliyemfuga anawatafuna.